Nguvu za soda: Alitaka kukimbia kumbe hana break:

Naamini government inamfanyia mipango Bashite wamtengenezee vyeti orijino,Bashite ni mtu wao. Lakini angekuwa mtu ambaye sio uvccm Bashite angekuwa jela sasa.
 
Naamini government inamfanyia mipango Bashite wamtengenezee vyeti orijino,Bashite ni mtu wao. Lakini angekuwa mtu ambaye sio uvccm Bashite angekuwa jela sasa.

Watamtengenezea lakini ukweli utabaki pale pale jamaa hana vyeti.Hivi Classmates wake na school mates wake hawapo??Na wakuu wa shule alizosoma.Majirani je??Ndiyo maana darasa ametuimbia unataka kukimbia wakati huna break,what do you expect.!
 
Watamtengenezea lakini ukweli utabaki pale pale jamaa hana vyeti.Hivi Classmates wake na school mates wake hawapo??Na wakuu wa shule alizosoma.Majirani je??Ndiyo maana darasa ametuimbia unataka kukimbia wakati huna break,what do you expect.!
Mzee hakutegemea kama yatakuwa haya kawa mpole...ila anadhihirisha upendeleo wake tena wa ukabila
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom