Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
kwa wenye umri wa miaka 30+ nguvu za macho zimeanza kupotea, kuziimarisha tumieni mara kwa mara samaki wadogo toka baharini (hasa bahari za maji chumvi hususan bahari ya hindi) smaki wanaoshauriwa zaidi ni UDUVI na macho hayatapoteza zaidi nguvu ya kuona.