utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Kutokan na wimbi kubwa lamatangazo ya dawa za nguvu za kiume nimekuwa nikifanya utafiti binafsi ...(sihitaji mfadhili) kuhusu eneo hili.Mojawapo ya eneo muhimu sana ni uhusiano wa upungufu wa nguvu za kiume na UKIMWI,
Tatizo kubwa la upungufu wa nguvu za kiume linaweza kuwa na athari mbaya katika maambukizo ua UKIWMI.
Watu kadhaa wenye tatizo hili wameeleza kuwa inakuwa ni ngumu kutumia condom kama unaupungufu wa nguvu ,matokeo yake wengi huvua katikakati ya tendo ......hebu nipeni uzoefu nimalizie thesisi yangu!
Tatizo kubwa la upungufu wa nguvu za kiume linaweza kuwa na athari mbaya katika maambukizo ua UKIWMI.
Watu kadhaa wenye tatizo hili wameeleza kuwa inakuwa ni ngumu kutumia condom kama unaupungufu wa nguvu ,matokeo yake wengi huvua katikakati ya tendo ......hebu nipeni uzoefu nimalizie thesisi yangu!