Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,440
Aisee Basi Apo Amtishieee tuHakuna pepo hapo bali jinsi Mme alivyoshindwa kumtishisha mkewe mpaka mke kaamua kuliwa na muuza vyombo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee Basi Apo Amtishieee tuHakuna pepo hapo bali jinsi Mme alivyoshindwa kumtishisha mkewe mpaka mke kaamua kuliwa na muuza vyombo
Madee alisema swala la mapenzi halina ujuzi wala sifa....Mapenzi hana formula! Ukiwa nazo unaweza kuachwa, ukizikosa njurugu tena unaachwa!
Siku ya mwisho YOTE MEMA
Vijana wa siku hizi mnafeli sana! Nani alikwambia mwanamke anafuata nyumba na gari nyumbani kwenu? Jitafakarini sana!Jamaa alikuwa anaishi vizuri na mkewe,wameoana kwa shangwe na furaha kubwa......wakabahatikiwa kupata mtoto mmoja katika ndoa yao.
maisha ya ndoa yalianza kubadilika baada ya rafiki yangu kuanza safari za kikazi mara kwa mara,ndipo shemeji akaanza tamaa za kimapenzi kwa kijana mmoja mkopesha vyombo kutoka kigoma.
Yule kijana alikuwa anafika karibu kila siku nyumbani kwa rafiki yangu,kwa kweli roho iliniuma sana aisee kuona dogo mshamba mshamba kutoka bush anakula mzigo wa maana sana tena wa jamaa yangu wa karibu,halafu sisi born town tupo tupo tunashangaaa.
Siku moja nimetoka zangu kibaruani jioni...nikasema ngoja nipite nikamjulie hali shem....dah! sikuamini nilichokiona kwa mboni safi za macho yangu kumkuta dogo wa kiha yupo chumbani kwa jamaa yangu wa karibu sana tunayeshirikiana kwa shida na raha...leo hii tunda lake lina liwa, mimi nikishuhudia aisee.....ikabidi nichukue maamuzi magumu ya kutaka kuingia moja kwa moja mpaka chumbani ili niweze kumuadabisha yule dogo kwa kipigo kikali,nafsi ikaniambia acha usije kuonekana nawe unahusika katika kutembea na mke wa rafiki yako niakondoka na majonzi makubwa sana moyoni safari hii niliapa nitamueleza jamaa yangu kila kitu baada ya kukaa kimya kwa muda kuona kama shemeji atabadilika baada ya kumkanya lakini wapi.
Nilipofika nyumbani usiku nikamwita wife nakumkanya tabia za kuwa na mazoea na hawa wakopesha vyombo wa hapa daslam...nashukuru wife alinielewa sana,nikawa najiuliza sijui nimwambie wife kuhusu sakata la mke wa jamaa yangu lakini roho ikawa inasita nikaamua kukausha kiume...nikavuta shuka nikasoma dua nikalala.
Asubuhi mapema nikiwa naelekea kibaruani nikaamua sasa nimpigie simu jamaa yangu kuhusu wife wake anavyomtendea ubaya ,kiasi kwamba hadi anadiriki kumleta mwanaume kwenye kitanda alichokinunua kwa pesa yake mwenyewe inatia uchungu sana....sijui shem alikosa nini jamani wanawake kwa nini mna hamridhiki?
Rafiki yangu ni kijana mtanashati aliyeajiriwa kwenye taasisi kubwa ya kifedha hapa nchini,kifupi ana maisha ya kipato cha kati amjenga nyumba,ana gari ya kutembelea ana miliki biashara kadhaa hapa mjini....kifupi pesa ya matumizi ipo,shemeji yangu ......................
Yule kijana alikuwa anafika karibu kila siku nyumbani kwa rafiki yangu,kwa kweli roho iliniuma sana aisee kuona dogo mshamba mshamba kutoka bush anakula mzigo wa maana sana tena wa jamaa yangu wa karibu,halafu sisi born town tupo tupo tunashangaaa.
Labda makwao hulala nje nyumba huzikuta kwa waume zaoVijana wa siku hizi mnafeli sana! Nani alikwambia mwanamke anafuata nyumba na gari nyumbani kwenu? Jitafakarini sana!
Nilishamwambia wife siku nikikuta umekopa chombo kwa Muha ndio itakuwa talaka yako.
Mwanamke lazima umwekee mipaka ili akikengeuka ajue kitakachompata.
Una hela unaacha wife wako akope viatu vya elfu 10 kwa Waha!!!
Unasema kweli lakini wanawake wengine hawaridhiki na mwanaume mmoja mkuu.Pesa si kigezo cha mtu kuridhika wanaume wengi huzani mahitaji ya nje ndiyo kila kitu kwa mke wanasahau kwamba hivyo vitu hata kwao alikuwa anavipata hapo kafuatwa yeye si kingine lakini kujifanya yupo busy hata muda wakukaa na mke ni mchache misamaki ya kwenye frigi ndiyo inamtosha wanajidanganya sana. Wake zao wataliwa sana wasipo jirekebisha