naona unashadidia ufirauni wenu 😂😂😂Wanaume wengi hawalielewi hilo..wake zao wakiliwa wanaanza kulalamika
naona unashadidia ufirauni wenu 😂😂😂Wanaume wengi hawalielewi hilo..wake zao wakiliwa wanaanza kulalamika
Je kama mke ni mgonjwa miaka 2 Mme anaweza kuvulimilia ? Au mkuki kwa nguruwe?Ukioa malaya ndo kinachotokea
Ni swala la mda tu...
Kuna watu watasema kama umridhishi mwanamke Je?mi nitawaambia kama mumewe akiumwa miaka 2 na wewe hujapata penzi??je utagongwa nje sababu hupati penzi kwa mumeo??????
Narudia tena malaya ni malaya...
Je kama mke ni mgonjwa miaka 2 Mme anaweza kuvulimilia ? Au mkuki kwa nguruwe?
Jibu nilotaka kukupa nimeamua kulifuta basi ngoja niishie hapaHatushindanishi jinsia
Nimeuliza swali pole km limekuchoma but huu ndo ukweli
Ukioa malaya lazima atalalwa nje tu waache vijana wapokee hilo wasige ua mtu kisa mapenzi...
Km mwanamke analala na mwanaume mwingine kwenye kitanda anacholala na mumewe,wewe utamtetea mwenzako lakini ukweli ni kwamba ameoa kahaba fullstop.
Kwahiyo dada kama uwaga unalala na mwanaume mwingine kwnye kitanda cha mumewe kisa akuridhishi utanisamehe ila unafanya hivyo sababu wewe ni malaya...