Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Nani kakuambia nakusemea? Mimi nazungumzia uhalisia wa kisiasa Chadema ni matapeli wa kisiasa. Kama Ccm ni mafisadi ingefanya maendeleo makubwa kama haya! Au unaleta hoja za hisia tu? Waliohama Chadema waliunga juhudi kwa dhamira zao wenyewe baada ya kumkubali JPM na Ccm.Wewe Mataga nani aliyekupa mamlaka ya kutusemea sisi Watanzania? Kwani nyinyi Ccm mna faida gani kwenye nchi hii zaidi tu ya kuendekeza vitendo vya rushwa, ufisadi, upendeleo, wizi wa mali za umma, kununua wanasiasa uchwara kwa kodi zetu na kujilimbikizia mali?