DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Nikatika uchaguzi wa kumchagua raisi wa chuo cha ruaha hapa iringa kuna wagombea watatu lakini wana onyesha ushindani ni wagombea wawili huku mmjoa akiwa nikatibu wa ccm na mwingine alikuwa mwenyekiti wa tawi moja la chADEMA ZAMANI anaungwa mkono na wanachuo wengi sana hasa kwasababu mpinzani wake inasemekana ametumwa na jk walijaribu kuiba kura ikashindikana kura zilikamatwa.ffu wameongezeka ilikuzidisha uchakajuaji imeshindikana ........................mdaa huu wanatanga zamshindi na yule wa chadema ameshinda, people power inatamkwa njee baada ya matokeo kutangazwa.