Nguvu ya TAKUKURU inayotumika kuwasaka wahusika wa kampuni ya Libya (MEIS) itumike kuwasaka watuhumiwa wa mradi wa uuzaji wa nyumba za Taifa (NHC)

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Nina imani kuwa nguvu hizi zikitumika kuwashughulikia watuhumiwa wote waliohodhi miradi ya nchi, Tanzania itakuwa nchi tajiri sana.

Kiongozi yeyote anapotajwa kuwania nafasi yoyote ya kisiasa, basi makaburi yote yatafukuliwa. Lakini tujiulize, ni nani msafi Tanzania hii? Nina imani ni wachache sana hasa wale ambao hawajawahi kuwa viongozi.

Kwa mfano: Nilipokuwa sekondari nilikuwa kiranja wa miradi, lakini ndizi za shule zilinikoma.
 
Ngojea tuwatonye Takukuru, bodi ya Mikopo imewakata watu fedha mwezi wa nne ila Deni halijapungua.Maana wanafukua makaburi ilihali kuna mauza uza ya sasa hawashughulikii.
 
Nina imani kuwa nguvu hizi zikitumika kuwashughulikia watuhumiwa wote waliohodhi miradi ya nchi, Tanzania itakuwa nchi tajiri sana.

Kiongozi yeyote anapotajwa kuwania nafasi yoyote ya kisiasa, basi makaburi yote yatafukuliwa. Lakini tujiulize, ni nani msafi Tanzania hii? Nina imani ni wachache sana hasa wale ambao hawajawahi kuwa viongozi.

Kwa mfano: Nilipokuwa sekondari nilikuwa kiranja wa miradi, lakini ndizi za shule zilinikoma.
Nyumba za masaki ,oysterbay ziliuzwa milioni 8,wengine wakawapa hadi michepuko! TAKAKUU mnafanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa,kama kweli basi fanyieni kazi huu ushauri wa kuwatafuta waliohusika kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa,kununua vivuko vibovu,kununua mv dar mbovu,ku approve barabara mbovu za lami etc
 
Nyumba za masaki ,oysterbay ziliuzwa milioni 8,wengine wakawapa hadi michepuko! TAKAKUU mnafanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa,kama kweli basi fanyieni kazi huu ushauri wa kuwatafuta waliohusika kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa,kununua vivuko vibovu,kununua mv dar mbovu,ku approve barabara mbovu za lami etc
Hilo litafanywa na Mtawala mwingine, kitaalamu tunaita kutesa kwa zamu....au ukipata kitumie ukikosa kijutie.
 
Nina imani kuwa nguvu hizi zikitumika kuwashughulikia watuhumiwa wote waliohodhi miradi ya nchi, Tanzania itakuwa nchi tajiri sana.

Kiongozi yeyote anapotajwa kuwania nafasi yoyote ya kisiasa, basi makaburi yote yatafukuliwa. Lakini tujiulize, ni nani msafi Tanzania hii? Nina imani ni wachache sana hasa wale ambao hawajawahi kuwa viongozi.

Kwa mfano: Nilipokuwa sekondari nilikuwa kiranja wa miradi, lakini ndizi za shule zilinikoma.
Alafu hii kauli ya nani aliye safi lengo lake kuu ni kutaka tusichukuliane hatua!! Lazima awe wa kuchukua hatua ....LAZIMA!!

Ukitaka padri wa kukuungamisha dhambi asiye na doa HAYUPO! Ila mitume walipewa amri ya kuondoa dhambi na amri hiyo ipo kisheria bila kujali usafi/uchafu wake! Amri yenyewe kisheria ni hii 23 Wo wote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wo wote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa.
Yohana 20:23

Hivyo aliye madarakani bila kujali usafi wake anayo mamlaka ya kuchukua hatua. Kinyume na hapo tuache kila mtu afanye atakalo maana hakuna atastahili kubadili!
 
Nyumba za masaki ,oysterbay ziliuzwa milioni 8,wengine wakawapa hadi michepuko! TAKAKUU mnafanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa,kama kweli basi fanyieni kazi huu ushauri wa kuwatafuta waliohusika kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa,kununua vivuko vibovu,kununua mv dar mbovu,ku approve barabara mbovu za lami etc
Kwa hiyo nani akamatwe kwanza ili awataje wezi wenzake?
 
nyumba za NHC bunge ndio liliidhinisha ziuzwe, wabunge walioidhinisha ziuzwe ni pamoja na Mbowe, Zitto, Halima Mdee, Lema, Msigwa, Sugu ,mnyika
issue ni abuse ya maamuzi ya bunge. na shida kubwa hapa ni.....nyumba ziliuzwajeuzwaje?

hii haina tofauti na bunge linapotunga sheria.....sheria inatungwa na bunge lakini mtendaji aki-abuse matumizi ya sheria chamoto lazima akipate!
 
Kwa hiyo nani akamatwe kwanza ili awataje wezi wenzake?

Akamatwe aliyekuwa waziri wa ujenzi ambaye ndo aliyepeleka paper kwenye cabinet, na yeye ni mnufaika wa nyumba hizi moja ikiwa hapo karibu na st peter, nyingine ubungo na alomnunulia hawarake KABUTA, eti mafisadi wakati waasisi wenyewe ndo mafisadi mapanya buku.
 
Nina imani kuwa nguvu hizi zikitumika kuwashughulikia watuhumiwa wote waliohodhi miradi ya nchi, Tanzania itakuwa nchi tajiri sana.

Kiongozi yeyote anapotajwa kuwania nafasi yoyote ya kisiasa, basi makaburi yote yatafukuliwa. Lakini tujiulize, ni nani msafi Tanzania hii? Nina imani ni wachache sana hasa wale ambao hawajawahi kuwa viongozi.

Kwa mfano: Nilipokuwa sekondari nilikuwa kiranja wa miradi, lakini ndizi za shule zilinikoma.
Bila kuwakamata waliouza nyumba za serikali na Mzee Chenge Takukuru hakuna lolote mnaonea vidagaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom