Euroleague
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 464
- 1,310
Kweli bro. Ndio maana nikasema inatemeana na mavurugu. Mfano mm miaka ya nyuma nilikutana na mdada mashine yake yamoto kama tanuli la tofali za kuchoma. Ukiweka tu ujapiga nje ndani tayari ushafika mshindo. Hapo ni kama cals 4 tu zimeenda. Hao wa cals 100 ndio wale wa kudandia madirisha mara ambebe jikoni huku anapiga mashine. Alafu researcher niliemsoma inatemeana alifanya research kwa kundi gani. Mfano mtu akienda kwa wadada wanaojiuza unakuta tayari akili ishajiandaa anafika machine ipo hewani anashika chuchu tako tatu wazungu hawa. Hapo si cals 8 tu zimeenda zimezidi hadi hatua alizopiga kutoka kwake kwenda kwenye danguro."...japo ukifanya mapenzi na mwanamke unaweza kupunguza cals 6 hadi 8 inategemeana na mavurugu unayofanya..."
Hapana kamanda hapo umetufunga kamba. Calories 6 unaweza kuziunguza kwa kujikuna tu au kupiga chafya mfululizo. Show ya kibabe kwa mwanaume inaweza kuunguza calories zaidi ya 150....
View attachment 1535926