Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,751
Mfumo dume unamtambua kama kiumbe dhaifu, asiye na nguvu.... Huu ni upotoshaji mkubwa labda nguvu hizi za kimwili na si kiroho....
Namheshimu sana mwanamke hasa asili yake kiroho na in fact naweza kusema namuogopa kwa namna fulani.. Ni huyu pekee aliyeangusha tawala, falme na watu wenye nguvu na umaarufu mkubwa duniani.... Hakuna kiumbe mwenye ushawishi usiokwepeka kama mwanamke... Tumeyaona kwa yule generali mwenye cheo kikubwa hivi karibuni
Adamu pamoja na kuwa kiumbe no moja kuumbwa... Huku ikisemekana pia kuwa aliumbwa sawa na Lilith... Mwanamke jeuri aliyemsumbua sana hata kufikia kumtaliki (talaka ya kwanza OG)
Ni baada ya hapo pengine Mungu akaona pengine si vema kuumba kiumbe kingine bali kitokane na Adam mwenyewe lakini inaelekea kuna mchezo ulifanyika na Lilith kurudi kwa mlango wa nyuma na kuwa Eva/hawa rejea mada hii Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? - JamiiForums
Hawa aliyetokana na mifupa ya Adam hakuwa jeuri na kiburi kama Lilith bali akajaaliwa ushawishi... Lakini pia akakubali kushawishiwa na Ibilisi... Hapa kuna mtanziko kidogo... Lilith kiburi lakini Hawa mshawishi
Hesabu za Ibilisi zilienda vema hata kumdanganya Hawa ale tunda la kati la mti wa ujuzi wa mema na mabaya Kwanini Hawa na si Adam?
Kulikuwa na kizalia kinachofanana kati ya Lilith na Adam hivyo Lilith mtalikiwa asingeweza kumrudia Adam na kumshawishi... Ni kupitia Hawa (anayesemekana pia ni Lilith) Lilith huyo huyo kwa umbo la pili la Ibilisi anapanda mbegu yake kwa Hawa na inakuwa implant ed kwa Adam
Ibilisi akitajwa kama malaika mkuu baada ya Mungu kwa hakika alizifahamu siri nyingi za mbinguni... Kwahiyo alipoasi na kuondoka huko aliondoka na mengi... Sasa kama aliweza kumface Hawa wakapiga story na kufanya naye patano... Huyu si mtu wa mchezo hata kidogo....
Tunisha msuli, tanua mbavu, vimbisha kifua lakini kiboko yako ni mwanamke... Muite majina yote lakini mwisho wa siku kwake huna say
Mwacheni mwanamke aitwe mwanamke... Mwanaume atabaki kuwa mtumwa wake mpaka mwisho.... Kataa kubali
Jr
Namheshimu sana mwanamke hasa asili yake kiroho na in fact naweza kusema namuogopa kwa namna fulani.. Ni huyu pekee aliyeangusha tawala, falme na watu wenye nguvu na umaarufu mkubwa duniani.... Hakuna kiumbe mwenye ushawishi usiokwepeka kama mwanamke... Tumeyaona kwa yule generali mwenye cheo kikubwa hivi karibuni
Adamu pamoja na kuwa kiumbe no moja kuumbwa... Huku ikisemekana pia kuwa aliumbwa sawa na Lilith... Mwanamke jeuri aliyemsumbua sana hata kufikia kumtaliki (talaka ya kwanza OG)
Ni baada ya hapo pengine Mungu akaona pengine si vema kuumba kiumbe kingine bali kitokane na Adam mwenyewe lakini inaelekea kuna mchezo ulifanyika na Lilith kurudi kwa mlango wa nyuma na kuwa Eva/hawa rejea mada hii Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? - JamiiForums
Hawa aliyetokana na mifupa ya Adam hakuwa jeuri na kiburi kama Lilith bali akajaaliwa ushawishi... Lakini pia akakubali kushawishiwa na Ibilisi... Hapa kuna mtanziko kidogo... Lilith kiburi lakini Hawa mshawishi
Hesabu za Ibilisi zilienda vema hata kumdanganya Hawa ale tunda la kati la mti wa ujuzi wa mema na mabaya Kwanini Hawa na si Adam?
Kulikuwa na kizalia kinachofanana kati ya Lilith na Adam hivyo Lilith mtalikiwa asingeweza kumrudia Adam na kumshawishi... Ni kupitia Hawa (anayesemekana pia ni Lilith) Lilith huyo huyo kwa umbo la pili la Ibilisi anapanda mbegu yake kwa Hawa na inakuwa implant ed kwa Adam
Ibilisi akitajwa kama malaika mkuu baada ya Mungu kwa hakika alizifahamu siri nyingi za mbinguni... Kwahiyo alipoasi na kuondoka huko aliondoka na mengi... Sasa kama aliweza kumface Hawa wakapiga story na kufanya naye patano... Huyu si mtu wa mchezo hata kidogo....
Tunisha msuli, tanua mbavu, vimbisha kifua lakini kiboko yako ni mwanamke... Muite majina yote lakini mwisho wa siku kwake huna say
Mwacheni mwanamke aitwe mwanamke... Mwanaume atabaki kuwa mtumwa wake mpaka mwisho.... Kataa kubali
Jr