Hoppity Cywale
Senior Member
- Aug 20, 2013
- 126
- 29
Sasa huko si ndio kuajiliwa kwanza ambako wewe umekataa. Kumbe ukubaliane sasa na wale wanaojiliwa kwanza ili kutafuta mtaji. Mpaka uingie huo ubia unadhan ni kuamka tu unapewa tenda?Mkuu achana na habari ya kudhani bila mtaji huwezi fanya kitu. Ngoja nikupe mfano hapo hapo kwenye hiyo biashara ya ufugaji wa kuku. Kwani kuna ubaya gani wewe ukianza kuchukua order na kusupply hao kuku / vifaranga kwa wahitaji kwa kuingia ubia na wanaozalisha vifaranga halafu baada ya kula commission zako za kutosha na wewe ukaanzisha yako?. Hii ni njia rahisi ya wewe usiekuwa na mtaji ukaanza kwa kufanya marketing ya wenzako kwanza baadae ikakusaidia hata wewe kuwa na uzoefu wa kutosha kwenye hiyo field.
Shida yetu sisi ni kutaka vitu vikubwa kana kwamba ionekane kama tulikuwepo miaka 20 iliyopita. Ni vizuri kuanzia chini then ukapanda juu.