PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,084
- 29,841
ARV auJaji Mtungi dishi limeyumba muda mrefu. Zile dawa za kuvuta vuta maisha huenda zimemuharibu.
ARV auJaji Mtungi dishi limeyumba muda mrefu. Zile dawa za kuvuta vuta maisha huenda zimemuharibu.
Faida ya wacha Mungu kukutana na Shetani ni zipi ? kukutana na Sirro ni kuvunja Katiba ya nchi kibwege sana , kwenye harakati za siasa Sirro binafsi au kwa cheo chake cha muda mfupi cha IGP hahusiki popote , tunakutana naye kwa lipi ?Tatizo ni moja mkuu, kutofanyika kwa huo mkutano / kikao, kuna faida yoyote kwa CHADEMA?? Maana mikutano na makongamano yanaendelewa kuzuiwa.
Sisemi kuwa kikao kilikuwa cha muhimu au cha maana, nachosema ni kuwa CHADEMA kinafeli kwa kucheza ngoma za Sisiemu. Sio Msajili wala Polisi waliokuwa wanahitaji hicho kikao sababu hawana wanachopoteza.
Stay focused
Wewe umeonaje kuwa kila SAA yuko humu? Si kwamba na wewe kila saa uko humu na ndiyo maana unamuona?Mkuu hivi una muda wa kukaa chini na familia yako mkajadili mambo mengine ya maisha kinyume na siasa, au hata kutumia muda fulan kutembelea ndugu mbali mbali? Maana kila muda upo jamvini kuandika habar za siasa.. Au una stress za kupoteza kura kwenye uchaguzi mkuu? Nashauri kila unapokwenda au ukapokaa uwe na mtu pemben wa kukuangalia maana kuna siku unaweza kujikuta umejifanyia jambo la ajabu afu wenye chama wanabaki duniani wanakula bata.
Mkuu inamaana marukanga tayari,au marukeiJaji Mtungi dishi limeyumba muda mrefu. Zile dawa za kuvuta vuta maisha huenda zimemuharibu.
shida yako nini mkuu. kwani anakula kwenu au kakuomba debe la unga?Mkuu hivi una muda wa kukaa chini na familia yako mkajadili mambo mengine ya maisha kinyume na siasa, au hata kutumia muda fulan kutembelea ndugu mbali mbali? Maana kila muda upo jamvini kuandika habar za siasa.. Au una stress za kupoteza kura kwenye uchaguzi mkuu? Nashauri kila unapokwenda au ukapokaa uwe na mtu pemben wa kukuangalia maana kuna siku unaweza kujikuta umejifanyia jambo la ajabu afu wenye chama wanabaki duniani wanakula bata.
Chama ni Chadema. Vingine miyeyushoKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Nguvu ya Chadema ni kubwa sana ndani ya Tanzania , na ndio maana Msajili wa vyama vya siasa Francis Mutungi alipoona Chadema imekataa kukutana na IGP kwa hoja nzito sana , akaamua kusalimu amri na kuingia mitini na ule mpango wake wa kukutanisha wapinzani na IGP ambaye ndiyo kiongozi wa Unyanyasaji na ubambikaji kesi wapinzani ukafa kibudu.
Huwezi kukutana na Wapinzani halafu Chadema isiwepo , hutafanya lolote , utakutana na Mrema au Queen Sendiga ?
Hahaha huo ndio ukweli.Simple, ukiona mwanasiasa hakusumbuliwa na Magu, huyo sio mpinzani
CHAMA cha upinzani kiko kimoja tu, na wenyewe wanajua.
Una haki ya kucomment lakini sio kila upuuzi ndugu.Tatizo ni moja mkuu, kutofanyika kwa huo mkutano / kikao, kuna faida yoyote kwa CHADEMA?? Maana mikutano na makongamano yanaendelewa kuzuiwa.
Sisemi kuwa kikao kilikuwa cha muhimu au cha maana, nachosema ni kuwa CHADEMA kinafeli kwa kucheza ngoma za Sisiemu. Sio Msajili wala Polisi waliokuwa wanahitaji hicho kikao sababu hawana wanachopoteza.
Stay focused
nguvu ya zitto ni ya kwake mwenyewe. nguvu ya chadema ni ya umma.Zitto alikubali vp hawakutani nae!?
😅😅😅O2Hii para imenifurahisha...
CDM ni Oxygen
that is very clearnguvu ya zitto ni ya kwake mwenyewe. nguvu ya chadema ni ya umma.
Sasa huku kupangiana mpaka cha kupost humu as if bundle umemnunulia imekaaje hii?? Mbaya zaidi unaongea as if you know everything about him na ratiba zake za kimaisha, acha hizoo jombaa...Mkuu hivi una muda wa kukaa chini na familia yako mkajadili mambo mengine ya maisha kinyume na siasa, au hata kutumia muda fulan kutembelea ndugu mbali mbali? Maana kila muda upo jamvini kuandika habar za siasa.. Au una stress za kupoteza kura kwenye uchaguzi mkuu? Nashauri kila unapokwenda au ukapokaa uwe na mtu pemben wa kukuangalia maana kuna siku unaweza kujikuta umejifanyia jambo la ajabu afu wenye chama wanabaki duniani wanakula bata.
Hakika kwangu chadema ni imani ya kitanzania hata siku niiiacha.nguvu ya zitto ni ya kwake mwenyewe. nguvu ya chadema ni ya umma.
Rubbish, magaidi unakutana nayo kufanya nini. Acheni Kiki za kizamani Sana saccos.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Nguvu ya Chadema ni kubwa sana ndani ya Tanzania , na ndio maana Msajili wa vyama vya siasa Francis Mutungi alipoona Chadema imekataa kukutana na IGP kwa hoja nzito sana , akaamua kusalimu amri na kuingia mitini na ule mpango wake wa kukutanisha wapinzani na IGP ambaye ndiyo kiongozi wa Unyanyasaji na ubambikaji kesi wapinzani ukafa kibudu.
Huwezi kukutana na Wapinzani halafu Chadema isiwepo , hutafanya lolote , utakutana na Mrema au Queen Sendiga ?
Hata samia ameshindwa kukuta na wapinzani bila ya uwepo wa chademaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Nguvu ya Chadema ni kubwa sana ndani ya Tanzania , na ndio maana Msajili wa vyama vya siasa Francis Mutungi alipoona Chadema imekataa kukutana na IGP kwa hoja nzito sana , akaamua kusalimu amri na kuingia mitini na ule mpango wake wa kukutanisha wapinzani na IGP ambaye ndiyo kiongozi wa Unyanyasaji na ubambikaji kesi wapinzani ukafa kibudu.
Huwezi kukutana na Wapinzani halafu Chadema isiwepo , hutafanya lolote , utakutana na Mrema au Queen Sendiga ?
Magaidi ya magufuli hayo yana stress achana nayo.Sasa huku kupangiana mpaka cha kupost humu as if bundle umemnunulia imekaaje hii?? Mbaya zaidi unaongea as if you know everything about him na ratiba zake za kimaisha, acha hizoo jombaa...
Kwahiyo waliitisha wakakutane na magaidi?Rubbish, magaidi unakutana nayo kufanya nini. Acheni Kiki za kizamani Sana saccos.
Anajua nguvu yetu aliiona 2020. Sio kitu cha kusimuliwa.Hata samia ameshindwa kukuta na wapinzani bila ya uwepo wa chadema
Aliyeomba kikao ndio wa kuulizwaRubbish, magaidi unakutana nayo kufanya nini. Acheni Kiki za kizamani Sana saccos.