Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kwani mnampango mwingine wa kummaliza?Mtamponza mwishowe!
Kwani mnampango mwingine wa kummaliza?Mtamponza mwishowe!
Wenzenu wanapanga safu ya mashambulizi nyie endeleeni kuchambana.
Muda ukifika muanze kuilaumu tume huru ya uchaguzi.
Nguvu pekee ya CCM kuendelea kutawala ni mabavu ya dola. Bila mbeleko ya vyombo vya dola CCM ni kama kikundi cha mchiriku tu.Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!
CHadema Kama mnara, Basi kwasasa umesimamia nguzo moja (Mwamba Tundu lissu)
Tundu lissu ndiyo mtu pekee makini anaeungwa mkono ndani ya chama na nje ya chama!
Tundu lissu ndiyo Mtu pekee akiongea wazee kwa vijana hutulia kumsikiliza!
Tundu lissu ndiye anaeogopwa kuliko hata Chadema yenyewe!
Sauti ya Tundu lissu ndiyo sauti ya matumaini kwa watu wote walioumizwa siasa chafu!
Hivyo Chadema kwasasa mtu pekee anaekibeba chama Ni Tundu lissu!
Miongoni mwa watu waliyoipa nguvu Chadema Enzi za PIPOOOZ POWER ya kweli Ni Tundu lissu, Dr slaa na Zitoo!
Chama Sasa kimekwisha; Aliyebaki na nguvu ndani ya chama ni Mnadhiri wa MunguTundu lissu pekee!
Wengine ndani ya chadema hawana madhara, Ni sawa na Makalio ndani ya chupi, Watabaki kutikisika kwa nyuma tu!
UKWELI lakini Mchungu! Povu RUKSA!
Mbona walishasema Chadema imekufa , kumbe tulidanganywa !Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!
CHadema Kama mnara, Basi kwasasa umesimamia nguzo moja (Mwamba Tundu lissu)
Tundu lissu ndiyo mtu pekee makini anaeungwa mkono ndani ya chama na nje ya chama!
Tundu lissu ndiyo Mtu pekee akiongea wazee kwa vijana hutulia kumsikiliza!
Tundu lissu ndiye anaeogopwa kuliko hata Chadema yenyewe!
Sauti ya Tundu lissu ndiyo sauti ya matumaini kwa watu wote walioumizwa siasa chafu!
Hivyo Chadema kwasasa mtu pekee anaekibeba chama Ni Tundu lissu!
Miongoni mwa watu waliyoipa nguvu Chadema Enzi za PIPOOOZ POWER ya kweli Ni Tundu lissu, Dr slaa na Zitoo!
Chama Sasa kimekwisha; Aliyebaki na nguvu ndani ya chama ni Mnadhiri wa MunguTundu lissu pekee!
Wengine ndani ya chadema hawana madhara, Ni sawa na Makalio ndani ya chupi, Watabaki kutikisika kwa nyuma tu!
UKWELI lakini Mchungu! Povu RUKSA!
Sema Chadema mtandaoni.Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!
CHadema Kama mnara, Basi kwasasa umesimamia nguzo moja (Mwamba Tundu lissu)
Tundu lissu ndiyo mtu pekee makini anaeungwa mkono ndani ya chama na nje ya chama!
Tundu lissu ndiyo Mtu pekee akiongea wazee kwa vijana hutulia kumsikiliza!
Tundu lissu ndiye anaeogopwa kuliko hata Chadema yenyewe!
Sauti ya Tundu lissu ndiyo sauti ya matumaini kwa watu wote walioumizwa siasa chafu!
Hivyo Chadema kwasasa mtu pekee anaekibeba chama Ni Tundu lissu!
Miongoni mwa watu waliyoipa nguvu Chadema Enzi za PIPOOOZ POWER ya kweli Ni Tundu lissu, Dr slaa na Zitoo!
Chama Sasa kimekwisha; Aliyebaki na nguvu ndani ya chama ni Mnadhiri wa MunguTundu lissu pekee!
Wengine ndani ya chadema hawana madhara, Ni sawa na Makalio ndani ya chupi, Watabaki kutikisika kwa nyuma tu!
UKWELI lakini Mchungu! Povu RUKSA!
CDM inawafanya ccm wasipate usingizi nimesikia hata mpaka kijijini chattle vijana wa CDM wametoa kichapo kikali kwa uvccm mpaka watu wamelazwa hospitali. Peopleeeeees!Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!
CHadema Kama mnara, Basi kwasasa umesimamia nguzo moja (Mwamba Tundu lissu)
Tundu lissu ndiyo mtu pekee makini anaeungwa mkono ndani ya chama na nje ya chama!
Tundu lissu ndiyo Mtu pekee akiongea wazee kwa vijana hutulia kumsikiliza!
Tundu lissu ndiye anaeogopwa kuliko hata Chadema yenyewe!
Sauti ya Tundu lissu ndiyo sauti ya matumaini kwa watu wote walioumizwa siasa chafu!
Hivyo Chadema kwasasa mtu pekee anaekibeba chama Ni Tundu lissu!
Miongoni mwa watu waliyoipa nguvu Chadema Enzi za PIPOOOZ POWER ya kweli Ni Tundu lissu, Dr slaa na Zitoo!
Chama Sasa kimekwisha; Aliyebaki na nguvu ndani ya chama ni Mnadhiri wa MunguTundu lissu pekee!
Wengine ndani ya chadema hawana madhara, Ni sawa na Makalio ndani ya chupi, Watabaki kutikisika kwa nyuma tu!
UKWELI lakini Mchungu! Povu RUKSA!
hawana mpya haoSema Chadema mtandaoni.
au siyoCDM inawafanya ccm wasipate usingizi nimesikia hata mpaka kijijini chattle vijana wa CDM wametoa kichapo kikali kwa uvccm mpaka watu wamelazwa hospitali. Peopleeeeees!
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!
CHadema Kama mnara, Basi kwasasa umesimamia nguzo moja (Mwamba Tundu lissu)
Tundu lissu ndiyo mtu pekee makini anaeungwa mkono ndani ya chama na nje ya chama!
Tundu lissu ndiyo Mtu pekee akiongea wazee kwa vijana hutulia kumsikiliza!
Tundu lissu ndiye anaeogopwa kuliko hata Chadema yenyewe!
Sauti ya Tundu lissu ndiyo sauti ya matumaini kwa watu wote walioumizwa siasa chafu!
Hivyo Chadema kwasasa mtu pekee anaekibeba chama Ni Tundu lissu!
Miongoni mwa watu waliyoipa nguvu Chadema Enzi za PIPOOOZ POWER ya kweli Ni Tundu lissu, Dr slaa na Zitoo!
Chama Sasa kimekwisha; Aliyebaki na nguvu ndani ya chama ni Mnadhiri wa MunguTundu lissu pekee!
Wengine ndani ya chadema hawana madhara, Ni sawa na Makalio ndani ya chupi, Watabaki kutikisika kwa nyuma tu!
UKWELI lakini Mchungu! Povu RUKSA!
Sasa ukiondoa Lissu! Hii Chadema Mtandaoni si ni sawa na Makalio ndani ya chupi tu, wanapiga kelele lakini hawana madhara! wamejaa uoga tuUmeharibu kidogo kwa kufikiria keki ukasahau ngano kwani nguvu ya Chadema haipo kwa Tundu Lissu, Mbowe wala kwa Mwalimu bali ukitaka kujua nguvu ya Chadema au hata chama chochote kile basi weka Tume huru ya uchaguzi na hapo ndipo utakapoona chama gani ni sawa na makalio ndani ya chupi kama unavyojaribu kutulisha matango pori yako
Sasa ukiondoa Lissu! Hii Chadema Mtandaoni si ni sawa na Makalio ndani ya chupi tu, wanapiga kelele lakini hawana madhara! wamejaa uoga tu
Jeshi la polisi halijamjibu maombi yake;Hivi huyu Tundu A. Lissu kinachomzuia kurudi nchini ni nini hasa?
1. Hana uhakika wa Usalama wake?
2. Anasubiri kukamilishwa kwa matibabu yake?
3. Anasubiri Lockdown kwa mabeberu iishe ndio arudi?
4. Anamuogopa Hakimu Huruma Shahidi pale Kisutu
Sasa na hii nia aliyoitangaza itakuaje unadhani?Jeshi la polisi halijamjibu maombi yake;
kwamba Kama wameshindwa taarifa za uchunguzi wa shambulio lake, Wanamuhakikishia ulinzi gani atakaporudi?
huo mfumo mwenye nguvu ya kuitikisa Ni Tundu lissu wengine hawawezi!Tofauti yangu na wewe ni kwamba wewe unazungumzia mtu mimi najaribu kuzungumzia mfumo kwani sie watu wote ni wa kupita tu
kura za Chadema pekee hazimtoshi kuwa Rais,,Zinahitajika kura za Watanzania!..Unless mna lengo tofauti la kuahiriki chaguzi na sio kutoa CCM madarakani!..Chadema sisi Tunamkubari Mbowe ambaye ndo kila kitu hapa Tz.
kura za Chadema pekee hazimtoshi kuwa Rais,,Zinahitajika kura za Watanzania!..Unless mna lengo tofauti la kuahiriki chaguzi na sio kutoa CCM madarakani!..
Naunga mkono hojaUmemsahau na John Heche, nashindwa kuelewa ni sababu ipi iliyofanya hadi leo asiwe General Secretaty or Deputy GS ndani ya CHADEMA. All in all ni ukweli Tundu Lissu ndiyo turufu pekee ya Urais kwa CHADEMA 2020.