Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!
CHadema Kama mnara, Basi kwasasa umesimamia nguzo moja (Mwamba Tundu lissu)
Tundu lissu ndiyo mtu pekee makini anaeungwa mkono ndani ya chama na nje ya chama!
Tundu lissu ndiyo Mtu pekee akiongea wazee kwa vijana hutulia kumsikiliza!
Tundu lissu ndiye anaeogopwa kuliko hata Chadema yenyewe!
Sauti ya Tundu lissu ndiyo sauti ya matumaini kwa watu wote walioumizwa siasa chafu!
Hivyo Chadema kwasasa mtu pekee anaekibeba chama Ni Tundu lissu!
Miongoni mwa watu waliyoipa nguvu Chadema Enzi za PIPOOOZ POWER ya kweli Ni Tundu lissu, Dr slaa na Zitoo!
Chama Sasa kimekwisha; Aliyebaki na nguvu ndani ya chama ni Mnadhiri wa MunguTundu lissu pekee!
Wengine ndani ya chadema hawana madhara, Ni sawa na Makalio ndani ya chupi, Watabaki kutikisika kwa nyuma tu!
UKWELI lakini Mchungu! Povu RUKSA!
CHadema Kama mnara, Basi kwasasa umesimamia nguzo moja (Mwamba Tundu lissu)
Tundu lissu ndiyo mtu pekee makini anaeungwa mkono ndani ya chama na nje ya chama!
Tundu lissu ndiyo Mtu pekee akiongea wazee kwa vijana hutulia kumsikiliza!
Tundu lissu ndiye anaeogopwa kuliko hata Chadema yenyewe!
Sauti ya Tundu lissu ndiyo sauti ya matumaini kwa watu wote walioumizwa siasa chafu!
Hivyo Chadema kwasasa mtu pekee anaekibeba chama Ni Tundu lissu!
Miongoni mwa watu waliyoipa nguvu Chadema Enzi za PIPOOOZ POWER ya kweli Ni Tundu lissu, Dr slaa na Zitoo!
Chama Sasa kimekwisha; Aliyebaki na nguvu ndani ya chama ni Mnadhiri wa MunguTundu lissu pekee!
Wengine ndani ya chadema hawana madhara, Ni sawa na Makalio ndani ya chupi, Watabaki kutikisika kwa nyuma tu!
UKWELI lakini Mchungu! Povu RUKSA!