jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,985
- 22,512
Nasikia Zitto ana nguvu huko Kigoma na hivyo kuna wanaodai CHADEMA wasithubutu kumchukulia hatua.Je CHADEMA ina nguvu gani Kigoma?Ama ni Zitto mwenye nguvu zaidi ya CHADEMA?Kwa kawaida nguvu ya kiongozi wa chama inapimwa kutokana na ushawishi kwa wananchi na kuongeza nguvu ya chama kwa kupiga kampeni kuongeza wabunge na madiwani.
Kuna memba anaitwa maringo7kaposti hii na picha...
Kuna memba anaitwa maringo7kaposti hii na picha...
maringo7 said:NAPENDA KuWASHAURI VIONGOZI WAKUU CHADEMA wasipuuzie mapokezi makubwa alioyapata mbunge wa kigoma kaskazini na kuonyesha kuwa bado anaushawishi mkubwa chamani.
kuna taarifa kubwa za kinteligensia kuwa mh zito anamtandao mkubwa katika mikoa ya kusini,kigoma,tabora,singida,t anga,shinyanga na tayari ameeanza kulobby wajumbe wa baraza kuu nahivo kama kesi yake itafika baraza kuu huenda kukaibuka mgawanyiko wa kutisha hivyo kwa busara ya chama ni bora kumvua vyeo vyote anavyoshiilia lakini si kumfukuza mh zito