Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
Kuna Uzi wa siku nyingi humu wa Pascal, utafute utawakuta wenzio kule...
fanya iv wakat unaenda kulala,fumba macho kish concentrate kweny pua yak kimya kabisa,kisha unaweza omba unachotaka kimya kimya au kwa maneno ,siyo kwa makelele kipind unaomba Amini kwamba utapata,kwa nn usiku mtu anaweza uliza ivo, kwa sababu akili yak usiku ndio uongea na wewe,au inaweza kutangulia kwenye maisha yak kuona kile ambacho ktatokea,in short mkuu ni somo pana sana siwez eleza yote ila meditation ndio ufunguo wa yote, sababu hata zuckerburg na steve job walitumia sana
Note:ata mimi pia ni mkristo ila naamin tu kwenye nguvu za akili
Aiseeeh, haya, mkuu nitajitahidi