Nguvu ya ajabu ya akili

mbewe

Senior Member
Dec 15, 2015
175
141
Habari WanaJF,

Hii ni mara yangu ya kwanza kuandika uzi humu jf,nimekuwa nikicomment tu,ila kuna suala nataka kusashirikisha kidogo.

Kuna kitu naweza kuita natural power which has been guiding me in my whole life, hii nguvu ni ya ajabu sana kwan imekuwa ikinipa kitu kama taarifa hivi in terms of dreams au kama flash tu nikiwa nimechoka au kutulia sana yaani nikiconcentrate.

Hii nguvu nilianza kuiexperience nilipokuwa primary, kuna siku tulienda Makumbusho (Mwenge hapo) kujifunza kama darasa basi nlipofika tu kuna tukio lilitokea lilinishangaza sana coz nlihisi labda nlishawah fika hapo kabla ila nlivyojiuliza vizuri niligundua nlishawahi kuota kitu km hicho.

LakinI pia nIlipokuwa O-Level, kuna siku nilikaa peke yangu najisomea ghafla lilikuja wazo tu niangalie dirishani, mara nlikumbuka hali kama hiyo ilishawah kunitokea ila nlijiuliza mbona hii ndio mara yangu ya kwanza kufika eneo hilo?!

Hakika nlishangaa sana kwanini hii kitu inatokea kwangu tu na sijawahi hata kumsikia mtu akiongea kama alishawahi kutokewa na kitu km hicho.

Matukio ni mengi sana siwezi kuelezea yote ila hali hii ilishamiri zaidi nilipokuwa chuo mpaka kupelekea mimi mwenyewe kuanza kujichunguza mpaka nikafikia point ya kuamua kwenda meditation moja hivi, hapo ndipo nilipokuja kujua hii kitu ni nini na nini nifanye ili niendane nayo.

Basi kwenye hiyo centre nlikutana na Mabudha ambao walinielekeza vizuri sana juu ya nguvu ambazo zipo ndani ya akili ya mtu, basi tokea hapo nlianza kuishi maisha ambayo hayana stress kabisa kwan nimekuwa nikitumia nguvu sana kwan niliwanaweza kujua matukio ambayo yanayoweza kunitokea.

Hii ilinipa tahadhar pia lakini pia hii nguvu ilishawahi KUNIPONYA vidonda vya tumbo hadi sasa navyoandika sina ulcers kabisa, na nliweza pia kupata mengi nliyoyataka.hakika ni nguvu ya ajabu sana ambayo inafanya kazi vizur kama ukiwa na imani na uvumilivu.

Mwisho kabisa niweke waz tu licha ya kwenda kwenye iyo meditation centre na kusoma vitabu vingi vya mabudha ila bado naamin katika dini ile ile nliyoikuta kwa wazaz wangu, kwahiyo mimi bado ni yule yule ila naitumia tu hii nguvu ya akili katika kujua tu mambo meng mfano najua upo muda utafika na mimi ntakutana na kile kitu nlichokiwaza ata miaka kadhaa nyuma.

Karibuni kwa maoni wandugu.
 
I'm also looking for a spiritual path. I'm waiting for someone to take me to a Buddhist temple. I believe in the power of the mind.
 
Hata mimi hii kitu ya Deja vu hunikuta mara kwa mara naweza nikawa nimekaa na baadhi ya watu tunapiga story lakini kuna kitu kinaniambia hiki kitu kilishawahi kutokea sehemu na ata kuyambuka maongezi tunaongea na yatakayofwata huwa najiulizaga sana hii kitu imekaaje
 
Wenye nguvu awajionyesh acha propaganda fanya kazi unapoteza mda kuwaza vitu vya ajabu
mkuu, sio kama napoteza muda wapo watu wana iyo kitu ila weng hawajajua bad namna ya kuitumia so, nimeandika km kuwaambia tu kuwa wanaweza kuitumia kufanyia vitu mbali mbali km mm ilivyoniponya ulcers
 
Hata mimi hii kitu ya Deja vu hunikuta mara kwa mara naweza nikawa nimekaa na baadhi ya watu tunapiga story lakini kuna kitu kinaniambia hiki kitu kilishawahi kutokea sehemu na ata kuyambuka maongezi tunaongea na yatakayofwata huwa najiulizaga sana hii kitu imekaaje
mkuu nakushaur nenda meditation centre walau ata mara moja, utaelewa umuhimu wak coz sometimes inakuwa inakupa tahadhar juu ya kitu pasipo wewe kujua
 
Habari WanaJF,

Hii ni mara yangu ya kwanza kuandika uzi humu jf,nimekuwa nikicomment tu,ila kuna suala nataka kusashirikisha kidogo.

Kuna kitu naweza kuita natural power which has been guiding me in my whole life, hii nguvu ni ya ajabu sana kwan imekuwa ikinipa kitu kama taarifa hivi in terms of dreams au kama flash tu nikiwa nimechoka au kutulia sana yaani nikiconcentrate.

Hii nguvu nilianza kuiexperience nilipokuwa primary, kuna siku tulienda Makumbusho (Mwenge hapo) kujifunza kama darasa basi nlipofika tu kuna tukio lilitokea lilinishangaza sana coz nlihisi labda nlishawah fika hapo kabla ila nlivyojiuliza vizuri niligundua nlishawahi kuota kitu km hicho.

LakinI pia nIlipokuwa O-Level, kuna siku nilikaa peke yangu najisomea ghafla lilikuja wazo tu niangalie dirishani, mara nlikumbuka hali kama hiyo ilishawah kunitokea ila nlijiuliza mbona hii ndio mara yangu ya kwanza kufika eneo hilo?!

Hakika nlishangaa sana kwanini hii kitu inatokea kwangu tu na sijawahi hata kumsikia mtu akiongea kama alishawahi kutokewa na kitu km hicho.

Matukio ni mengi sana siwezi kuelezea yote ila hali hii ilishamiri zaidi nilipokuwa chuo mpaka kupelekea mimi mwenyewe kuanza kujichunguza mpaka nikafikia point ya kuamua kwenda meditation moja hivi, hapo ndipo nilipokuja kujua hii kitu ni nini na nini nifanye ili niendane nayo.

Basi kwenye hiyo centre nlikutana na Mabudha ambao walinielekeza vizuri sana juu ya nguvu ambazo zipo ndani ya akili ya mtu, basi tokea hapo nlianza kuishi maisha ambayo hayana stress kabisa kwan nimekuwa nikitumia nguvu sana kwan niliwanaweza kujua matukio ambayo yanayoweza kunitokea.

Hii ilinipa tahadhar pia lakini pia hii nguvu ilishawahi KUNIPONYA vidonda vya tumbo hadi sasa navyoandika sina ulcers kabisa, na nliweza pia kupata mengi nliyoyataka.hakika ni nguvu ya ajabu sana ambayo inafanya kazi vizur kama ukiwa na imani na uvumilivu.

Mwisho kabisa niweke waz tu licha ya kwenda kwenye iyo meditation centre na kusoma vitabu vingi vya mabudha ila bado naamin katika dini ile ile nliyoikuta kwa wazaz wangu, kwahiyo mimi bado ni yule yule ila naitumia tu hii nguvu ya akili katika kujua tu mambo meng mfano najua upo muda utafika na mimi ntakutana na kile kitu nlichokiwaza ata miaka kadhaa nyuma.

Karibuni kwa maoni wandugu.
Haya yote mengi ulosema watu wengi tuna mwanga nalo.ulipaswa tu kutufundisha namna ya kutumia hii akili kutuletea manufaa,fundisha ufanyavyo wewe hatua moja mpaka nyingine
 
Habari WanaJF,

Hii ni mara yangu ya kwanza kuandika uzi humu jf,nimekuwa nikicomment tu,ila kuna suala nataka kusashirikisha kidogo.

Kuna kitu naweza kuita natural power which has been guiding me in my whole life, hii nguvu ni ya ajabu sana kwan imekuwa ikinipa kitu kama taarifa hivi in terms of dreams au kama flash tu nikiwa nimechoka au kutulia sana yaani nikiconcentrate.

Hii nguvu nilianza kuiexperience nilipokuwa primary, kuna siku tulienda Makumbusho (Mwenge hapo) kujifunza kama darasa basi nlipofika tu kuna tukio lilitokea lilinishangaza sana coz nlihisi labda nlishawah fika hapo kabla ila nlivyojiuliza vizuri niligundua nlishawahi kuota kitu km hicho.

LakinI pia nIlipokuwa O-Level, kuna siku nilikaa peke yangu najisomea ghafla lilikuja wazo tu niangalie dirishani, mara nlikumbuka hali kama hiyo ilishawah kunitokea ila nlijiuliza mbona hii ndio mara yangu ya kwanza kufika eneo hilo?!

Hakika nlishangaa sana kwanini hii kitu inatokea kwangu tu na sijawahi hata kumsikia mtu akiongea kama alishawahi kutokewa na kitu km hicho.

Matukio ni mengi sana siwezi kuelezea yote ila hali hii ilishamiri zaidi nilipokuwa chuo mpaka kupelekea mimi mwenyewe kuanza kujichunguza mpaka nikafikia point ya kuamua kwenda meditation moja hivi, hapo ndipo nilipokuja kujua hii kitu ni nini na nini nifanye ili niendane nayo.

Basi kwenye hiyo centre nlikutana na Mabudha ambao walinielekeza vizuri sana juu ya nguvu ambazo zipo ndani ya akili ya mtu, basi tokea hapo nlianza kuishi maisha ambayo hayana stress kabisa kwan nimekuwa nikitumia nguvu sana kwan niliwanaweza kujua matukio ambayo yanayoweza kunitokea.

Hii ilinipa tahadhar pia lakini pia hii nguvu ilishawahi KUNIPONYA vidonda vya tumbo hadi sasa navyoandika sina ulcers kabisa, na nliweza pia kupata mengi nliyoyataka.hakika ni nguvu ya ajabu sana ambayo inafanya kazi vizur kama ukiwa na imani na uvumilivu.

Mwisho kabisa niweke waz tu licha ya kwenda kwenye iyo meditation centre na kusoma vitabu vingi vya mabudha ila bado naamin katika dini ile ile nliyoikuta kwa wazaz wangu, kwahiyo mimi bado ni yule yule ila naitumia tu hii nguvu ya akili katika kujua tu mambo meng mfano najua upo muda utafika na mimi ntakutana na kile kitu nlichokiwaza ata miaka kadhaa nyuma.

Karibuni kwa maoni wandugu.
Hii kitu kila mtu inamtokea czan kama kuna mtu hajaexprience hii kitu
 
Awamu hii, hakika hadi "kupaa bila mabawa" kutatafakaliwa na kujaribiwa.

Ila acheni hizi porojo.
mkuu naomba nikupe assignment moja leo, usiku dk chache kabla ya kulala omba kile unachotaka km ni uponyaj wa ugonjwa au whatever ,amini kwa maana expect to the fullest,kisha lala wah kulala, kesho asubuh ukiaamka tu fany km ulivyofanya last night,kisha endelea na maisha yak ,we kuwa na iman na persistence,ntakuja kukwambia kwa ni asubuh na wa wakat wa kulala mkuu
 
mkuu naomba nikupe assignment moja leo, usiku dk chache kabla ya kulala omba kile unachotaka km ni uponyaj wa ugonjwa au whatever ,amini kwa maana expect to the fullest,kisha lala wah kulala, kesho asubuh ukiaamka tu fany km ulivyofanya last night,kisha endelea na maisha yak ,we kuwa na iman na persistence,ntakuja kukwambia kwa ni asubuh na wa wakat wa kulala mkuu

Aiseeee,
Sasa nitaombaje Kwa kupitia kanisa, msikiti au imani gani maana Daah Mimi siyo muumini wa hizi dini za kigeni wala siamini katika uchawi wala wasioamini kutokuwepo Kwa Mungu, wala mimi siyo Freemason! ?

Yaani nipo tu na maisha yanasongo, sasa naombaje aiseee .
 
Aiseeee,
Sasa nitaombaje Kwa kupitia kanisa, msikiti au imani gani maana Daah Mimi siyo muumini wa hizi dini za kigeni wala siamini katika uchawi wala wasioamini kutokuwepo Kwa Mungu, wala mimi siyo Freemason! ?

Yaani nipo tu na maisha yanasongo, sasa naombaje aiseee .
Aiseeee,
Sasa nitaombaje Kwa kupitia kanisa, msikiti au imani gani maana Daah Mimi siyo muumini wa hizi dini za kigeni wala siamini katika uchawi wala wasioamini kutokuwepo Kwa Mungu, wala mimi siyo Freemason! ?

Yaani nipo tu na maisha yanasongo, sasa naombaje aiseee .
fanya iv wakat unaenda kulala,fumba macho kish concentrate kweny pua yak kimya kabisa,kisha unaweza omba unachotaka kimya kimya au kwa maneno ,siyo kwa makelele kipind unaomba Amini kwamba utapata,kwa nn usiku mtu anaweza uliza ivo, kwa sababu akili yak usiku ndio uongea na wewe,au inaweza kutangulia kwenye maisha yak kuona kile ambacho ktatokea,in short mkuu ni somo pana sana siwez eleza yote ila meditation ndio ufunguo wa yote, sababu hata zuckerburg na steve job walitumia sana
Note:ata mimi pia ni mkristo ila naamin tu kwenye nguvu za akili
 
Habari WanaJF,

Hii ni mara yangu ya kwanza kuandika uzi humu jf,nimekuwa nikicomment tu,ila kuna suala nataka kusashirikisha kidogo.

Kuna kitu naweza kuita natural power which has been guiding me in my whole life, hii nguvu ni ya ajabu sana kwan imekuwa ikinipa kitu kama taarifa hivi in terms of dreams au kama flash tu nikiwa nimechoka au kutulia sana yaani nikiconcentrate.

Hii nguvu nilianza kuiexperience nilipokuwa primary, kuna siku tulienda Makumbusho (Mwenge hapo) kujifunza kama darasa basi nlipofika tu kuna tukio lilitokea lilinishangaza sana coz nlihisi labda nlishawah fika hapo kabla ila nlivyojiuliza vizuri niligundua nlishawahi kuota kitu km hicho.

LakinI pia nIlipokuwa O-Level, kuna siku nilikaa peke yangu najisomea ghafla lilikuja wazo tu niangalie dirishani, mara nlikumbuka hali kama hiyo ilishawah kunitokea ila nlijiuliza mbona hii ndio mara yangu ya kwanza kufika eneo hilo?!

Hakika nlishangaa sana kwanini hii kitu inatokea kwangu tu na sijawahi hata kumsikia mtu akiongea kama alishawahi kutokewa na kitu km hicho.

Matukio ni mengi sana siwezi kuelezea yote ila hali hii ilishamiri zaidi nilipokuwa chuo mpaka kupelekea mimi mwenyewe kuanza kujichunguza mpaka nikafikia point ya kuamua kwenda meditation moja hivi, hapo ndipo nilipokuja kujua hii kitu ni nini na nini nifanye ili niendane nayo.

Basi kwenye hiyo centre nlikutana na Mabudha ambao walinielekeza vizuri sana juu ya nguvu ambazo zipo ndani ya akili ya mtu, basi tokea hapo nlianza kuishi maisha ambayo hayana stress kabisa kwan nimekuwa nikitumia nguvu sana kwan niliwanaweza kujua matukio ambayo yanayoweza kunitokea.

Hii ilinipa tahadhar pia lakini pia hii nguvu ilishawahi KUNIPONYA vidonda vya tumbo hadi sasa navyoandika sina ulcers kabisa, na nliweza pia kupata mengi nliyoyataka.hakika ni nguvu ya ajabu sana ambayo inafanya kazi vizur kama ukiwa na imani na uvumilivu.

Mwisho kabisa niweke waz tu licha ya kwenda kwenye iyo meditation centre na kusoma vitabu vingi vya mabudha ila bado naamin katika dini ile ile nliyoikuta kwa wazaz wangu, kwahiyo mimi bado ni yule yule ila naitumia tu hii nguvu ya akili katika kujua tu mambo meng mfano najua upo muda utafika na mimi ntakutana na kile kitu nlichokiwaza ata miaka kadhaa nyuma.

Karibuni kwa maoni wandugu.
Kuna Uzi wa siku nyingi humu wa Pascal, utafute utawakuta wenzio kule...
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom