mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,014
- Thread starter
- #61
Na wakinywee tu mkuu hicho kikombe cha ghadhabu yako, si dhambi kwani una lengo zuri la kutoa fundisho. Hali inazidi kuwa mbaya sana.Kaka wanaume wa aina hii wanaoona uovu dhairi na ukandamizaji wa kisheria dhidi ya wanaume na wanatetea maovu haya NAWAWEKA KUNDI MOJA NA WANAWAKE NA WATAKINYYEA KIKOMBE CHA GADHABU YANGU AMBAYO HAIJACHANGANYA NA MAJI KUIPOZA (UNDILUTED)