Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Kuna nguvu tuliyopewa na Mungu ambayo ina uwezo wa kukutibu maradhi yako, kukuepusha na majanga au kukupa uwezo wa kupigaba na adui. Nguvu hii hukaa kwenye viungo vya uzazi.
Nguvu hii iko sehemu ambayo mwili una uwezo wa kuuinganisha uhai mpya wa kiumbe, mwili una uwezo wa kutoa uchafu, kwa haja kubwa na ndogo. Kujiunga na nguvu hizi inamaana mithili ya mazoezi ya Yoga 🧘♀️ na unajiunga na spirit kutoka a na dini na imani yako.
Unapojamiiana unapoteza uwezo wa nguvu hizi, hasa kwa wale wanaofanya ngono zembe.
Ukiweza kujuinga na nguvu hizi kwa imani kali unaweza kujitibu maradhi makubwa hata cancer, kisukari nk.
Nimesoma katika kitabu cha meditation cha Middle East.
Nguvu hii iko sehemu ambayo mwili una uwezo wa kuuinganisha uhai mpya wa kiumbe, mwili una uwezo wa kutoa uchafu, kwa haja kubwa na ndogo. Kujiunga na nguvu hizi inamaana mithili ya mazoezi ya Yoga 🧘♀️ na unajiunga na spirit kutoka a na dini na imani yako.
Unapojamiiana unapoteza uwezo wa nguvu hizi, hasa kwa wale wanaofanya ngono zembe.
Ukiweza kujuinga na nguvu hizi kwa imani kali unaweza kujitibu maradhi makubwa hata cancer, kisukari nk.
Nimesoma katika kitabu cha meditation cha Middle East.