Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,914
Ni kama vile Katikati ya jamii ya Watanzani kuna kitendawili ambacho bado hakijapatiwa majibu. Kuna swali linalosumbua watanzania wengi kuhusu nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli katika historia yetu kiuchumi, kijamii, kisiasa na hata kimahusiano ya kimataifa.
Kumeibuka makundi mawili yanayopingana. Lipo kundi linaloamini Hayati Magufuli alifanya mambo mengi sana mema kwa ajili ya Tanzania. Na lipo kundi linaloamini kuwa Hayati Magufuli aliivunja msingi iliyolijenga taifa letu kuwa watu waliothamini utu wa mtu.
Makundi hayo mawili, kila moja linalishutumu jingine kwamba linatumia nguvu kubwa sana ama kumshutumu Hayati Magufuli ama kumsifia. Lakini haieleweki inaposemwa "nguvu kubwa" huwa inamaanishwa hiyo nguvu kubwa ni nini!!?
Jee nguvu kubwa inatumika kumsifia ama kumshutumu Hayati Magufuli kwa aina ya utawala wake alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania?
Kumeibuka makundi mawili yanayopingana. Lipo kundi linaloamini Hayati Magufuli alifanya mambo mengi sana mema kwa ajili ya Tanzania. Na lipo kundi linaloamini kuwa Hayati Magufuli aliivunja msingi iliyolijenga taifa letu kuwa watu waliothamini utu wa mtu.
Makundi hayo mawili, kila moja linalishutumu jingine kwamba linatumia nguvu kubwa sana ama kumshutumu Hayati Magufuli ama kumsifia. Lakini haieleweki inaposemwa "nguvu kubwa" huwa inamaanishwa hiyo nguvu kubwa ni nini!!?
Jee nguvu kubwa inatumika kumsifia ama kumshutumu Hayati Magufuli kwa aina ya utawala wake alipokuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania?