Nguvu inayomsukuma mwanamke kwenye mahusiano, ni umasikini

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,323
40,167
Nguvu inayomsukuma mwanamke, kuingia kwenye mahusiano, kwa asilimia kubwa huwa ni umasikini.

Wengi wanaingia kwenye mahusiano, ili kupata uhakika wa kula, kuvaa, kumiliki majengo, magari, kumiliki miradi, kupanda vyeo n.k

Hawaingii kwenye mahusiano, kwa sababu ya mapenzi ya kutoka moyoni; ndio maana hela ya mwanaume inakuwa ni ya wote, na hela ya mwanamke inakuwa ni ya kwake.

Ndio maana mwanaume fukara, asiyekuwa na kipato au ramani ya maisha; huwa anakimbiwa na wanawake, kwa sababu anakuwa hana vitu ambavyo humvutia mwanamke.

Kama itatokea mwanaume akapendwa na mwanamke aliyejitosheleza kiuchumi, na mwanamke ndio akawa analipa 'bill' bila kugusa hela ya mwanaume; hapo ndipo kutakuwa na mapenzi ya kweli; kwa sababu kilichomvutia mwanamke kwenye hayo mahusiano sio pesa, bali ni upendo tu.​
 
Ndoa ni hitaji la kila mwanaume na mwanamke. Kuolewa kwa mwanamke siyo umasikini bali ni hitaji la kibinadamu ndiyo maana babu zetu waliweza kuoa wakiwa wanaishi maporini.
Kutokana na nyakati kubadilika na maadili kushuka kumekuwepo na kundi kubwa la wanawake wenye tamaa ya mali.
Mwanamke ameumbwa kumtegemea mwanaume hata ndoto za mwanamke zinakamilishwa na mwanaume.
Mwanamke ni mbinafsi toka enzi za Adamu na Eva
Asilimia 95% ujumbe huu ni sahihi.
Haya wanaume wameyashuhudia wakiyumba kiuchumi ghafla upendo kwa upande wa mwanamke hukatika ghafla
 
Ndoa ni hitaji la kila mwanaume na mwanamke. Kuolewa kwa mwanamke siyo umasikini bali ni hitaji la kibinadamu ndiyo maana babu zetu waliweza kuoa wakiwa wanaishi maporini.
Kutokana na nyakati kubadilika na maadili kushuka kumekuwepo na kundi kubwa la wanawake wenye tamaa ya mali.
Mwanamke ameumbwa kumtegemea mwanaume hata ndoto za mwanamke zinakamilishwa na mwanaume.
Mwanamke ni mbinafsi toka enzi za Adamu na Eva
Ni sahihi but kuipqramia kama Said wa Mwanza utaishia kufa na presha.
Mke mlaku wa pesa kupitioiza ni janga kubwa sana.

Shida ya wanaume nayo ni kushindana kuoa pisi kali au wa misambwanda ambao 90% hawafugikibkamwe, badala ya kujenga familia kwa amani mnaishia kugombana kila siku hasa ukiyumba kiuchumi
 
Back
Top Bottom