Tusamehe sana kwa kuchelewa kukujibu. Ila kwa haraka zaidi tuwasiliane kwa hii namba: 0765920434 (WhatsApp/Call/Text)Ebu weka sampuli ya mabango ya mpesa tigo pesa airtel money na halo pesa, nataka unifanyie hiyo kazi kwenye kishop changu
Kiukweli umejua kujibrand,hope tutafanya kazi pamoja..
we mzee si nilikuambia nimestaafu 😁😁labda uje premium prices za 2022 unishawishiBraza, mimi kwakwel sijui ni namna gan naweza kui brand service that am offering..Yan sijui hata kwa watsap sijui ni namna gan i can brand it ..i dnt kwy but labda ni kwa nature ya what am dealing with na customers walengwa..Kama unaweza ukanishauri na kunipa darasa we can do the job Eyce hapa pia unahusika
Tucheki kwa whatssap/piga kupitia no 0765 920 434Braza, mimi kwakwel sijui ni namna gan naweza kui brand service that am offering..Yan sijui hata kwa watsap sijui ni namna gan i can brand it ..i dnt kwy but labda ni kwa nature ya what am dealing with na customers walengwa..Kama unaweza ukanishauri na kunipa darasa we can do the job Eyce hapa pia unahusika
Hivi branding ni messaging au ni hizi logo?
kwa lugha nyepesi
Branding ni mchakato wa kutengeneza Brand
Brand ni kitu chochote kinachomsaidia mtu yoyote ama mteja wako kuweza kutambua na kutofautisha bidhaa yako na za wengineo.. Yaweza kuwa Jina, Rangi, logo, muundo, Packaging, harufu, sauti kama jingles, tagline
Leo ukiona jengo lenye mistari ya kijani, unajua ni CRDB bila mtu kukuambia
Ukiona apple lililong'atwa unajua ni iphone
ukiona kitiki kwenye kiatu unajua ni nike
Ukisikia "Radio ya watu" unajua ni clouds
Hivi ni vitu basic vinavyohitaji printing kama mkuu anachofanya
Ila kabla ya yote lazma kuwe na Brand Concept, unaangalia unataka brand yako iweje, ijulikanaje, iwajengee hisia gani watumiaji
haya yote yanategemea na nani unaemlenga kuwa mteja wako
Bidhaa nyingi luxurious kama magari au iphones zinawalenga watu daraja la juu, kwani kwao "Image" ni suala la msingi
ndio maana wanatengenezewa vitu exclusive na quality ya juu kwa bei kubwa.. kwani kwao kumiliki kitu ni zaidi ya functionality ila kuonesha position yao kwenye jamii.. same kama heinnesy, sio ladha ni ile feeling mtu anaipata akipiga nayo picha au akiitumia
Kwa wanaolenga kwa daraja la chini kinachoangaliwa ni gharama tu maana kikubwa ni affordability na sio quality.
hapa utaona brand kama tecno zinawin kirahisi
Kwa hiyo mtu akishajua anamlenga nani, atatengeneza bidhaa na kuiwasilisha in a way wanunuzi watajishikiza kwake..
hapa ndio utakuta inatengenezwa bidhaa, message au promo ya aina flani, inapelekwa maeneo flani tu na wanapewa celebrities flani waitangaze
Kwa kifupi ni hivyo japo yapo mengi. Mpigie simu mtoa mada atakupa experience practical zaidi
Wewe ndio umenipa jibu sahihi, nilimchallenge kidogo tu mleta mada aliongelea a very small portion of branding na kugeneralize kama ndio branding. Hizo colors na logo ni kumpunguzia consumer headache ya kutafuta/kutotafuta your product after consuming.
Branding is the value you deliver (message). The rest ni identification tu of your product/service.
Haya madini hayapo kwenye syllabus 😊😊Ni kweli mkuu, Branding ni process ya kutengeneza thamani kwa mteja lakini pia kwako wewe muuzaji au mmiliki wa brand
Ukitengeneza brand pasipo kutegemea kukua kwa value yako ama ya biashara yako then hiyo ni wastage
Branding kama Marketing, Sales au PR zote zimeegemea katika "Communication" kwa hiyo upo sawa mkuu
Mtoa mada yuko sahihi kakujibu simple, straight and clear no long story!Wewe ndio umenipa jibu sahihi, nilimchallenge kidogo tu mleta mada aliongelea a very small portion of branding na kugeneralize kama ndio branding. Hizo colors na logo ni kumpunguzia consumer headache ya kutafuta/kutotafuta your product after consuming.
Branding is the value you deliver (message). The rest ni identification tu of your product/service.
Kazi njema wazee.Mteja anapoprint na sisi tunampatia free design kwa kazi zake,tunacaharge printing cost tu.
Cheki hii package design za mteja wetu.
Tucheki kupitia whatssap no 0765920434 tukudizainie designs zako mbalimbali na kukuprintia
01.Food menu
View attachment 2106659
02Bango/banner design
View attachment 2106661
Yes chief karbu sanaNilipita mawasiliano stend nikaona bango la ofisi yenu nkiwa ndani ya stend ntakuja kuprint business cards