Nguruwe na Kuku wa kisasa wanapewa dawa za wagonjwa wa UKIMWI

Jana nilimla mnyama kwa fujo kweli, kilo mbili peke yangu,duh basi miili yetu itakuwa imejaza ARVs kibao!! Sasa kwanini ngoma inapukutisha hivo?

ARVs haizui kupata ngoma inarefusha maisha kidogo kwa kukuongezea upepo kwenye nyama za mwili uwe angalau na umbo la kawaida.
Kwa hiyo ngoma itaendelea kumaliza tu na hizi dawa za kuongeza kuvu za kula uroda ndio balaa kabisa kwasababu hata wenye nguvu zao bado wanazitumia mwisho wanafia kitandani.
 
Wabongo "ujasiriwamali" umetuzidi mpaka tunachukua risk zisizochukuliwa, walianza na vidonge vya majira, sasa wameingilia ARV? LOL!.

Ila hii inatokana na ukosefu wa elimu na uwajibaki kwa waliopewa dhamana kusimamia haki za walaji. Kila kitu source ni moja tu "RUSHWA". Ninaamini bwana mifugo hafanyi kazi yake, na huenda hawezeshwi na waliompatia nafasi hiyo kwa kupewa vifaa vya kisasa na kulipwa ipasavyo.

Mungu ibariki Tanzania, kila mahali imekuwa usanii ndiyo maana life span yatu inazidi kupungua. Nafikiri sasa kuna umuhimu wa kutumia supermarkets za kimatiafa maana kila kona kumeoza,
 
I do no kama Bongo imeshaingia hiyo.
Lakini ze better tings ni serikali kupiga kabisa marufuku utumiaji wa ARVs, maana kwa hali hii sijui Tanzania after 10 years itakuwa where...


mkuu una nia njema na watanzania kweli wewe?
 
EEEH WATU WANA ROHO NGUMU JAMANI ..
HAWAKO SERIOUS NA MAISHA YA WENZAO MABWANA AFYA SIJUI Ma DR wa wanyama wanafanya kazi gani?
 
EEEH WATU WANA ROHO NGUMU JAMANI ..
HAWAKO SERIOUS NA MAISHA YA WENZAO MABWANA AFYA SIJUI Ma DR wa wanyama wanafanya kazi gani?

tena usikute hao ndio waliwaadvice wafugaji wa-misuse ARVs!!!

mama personal interst kwanza mengine baadae if there is time for that thou!!!
 
I do no kama Bongo imeshaingia hiyo.
Lakini ze better tings ni serikali kupiga kabisa marufuku utumiaji wa ARVs, maana kwa hali hii sijui Tanzania after 10 years itakuwa where...

and Peter Tosh you dare to say that bolded up there??? kwani matumizi sahihi ya ARVs au lengo lake si kupunguza makali ya ukimwi??? sasa matumizi ya kwenye nguruwe na kuku mdo yanafaa yadhibitiwe na serikali na si kuacha kuingiza hizo dawa kwa kigezo cha kipuuzi cha kushindwa kudhiniti matumizi sahihi!!

think twice and think deeply!!!
 
tena usikute hao ndio waliwaadvice wafugaji wa-misuse ARVs!!!

mama personal interst kwanza mengine baadae if there is time for that thou!!!


wamenikacrisha sana tena sana, ni juzi tu nimekula hii kitu...
 
wamenikacrisha sana tena sana, ni juzi tu nimekula hii kitu...

hahaaa karibu tutakosa cha kula mamiiii maana hata hiyo michicha inapolimwa sio...yak!!!!

ngoja tufe tunajiona tu!!!
 
@nguli
jamani dunia imekwisha nakubaliana na ww nguli bora tuanzishe kijiji chetu uko tunalima na kupanda vitu orignal na kemical yani tunakula na kunywa vitu vya asili tu visivyo na sumu kwani vitu vya kula avipo salama kabisa yani dawa za ukimwi wanapewa kuku na nguruwe kama sio mwisho wa dunia nn
 
Yaani nimeishiwa vitamkwa mdomoni jamani!! Sijui niite madhara ya umasikini, kutokuelewa, ujinga au vya bure!!
 
Habari nilizosikia juu juu asubuhi ya leo kutoka kwenye vyomo vya habari imegundulika kwamba huko Mbeya wakulima/wafugaji wanawapa Nguruwe na kuku dawa za kuongeza nguvu za wagonjwa wa ukimwi ili wakue haraka.

Madhara yake kwa mlaji ni kifo cha gafla ambacho kinasababishwa na magonjwa ya moyo-Cardiac arrest.

Kwa aliyeipata habari hio naomba uweke hapa kwa ajili ya AFYA za watanzania wote. Kwangu mimi ni habari mbaya na ya kushitusha.

Any scientific evidence?

mhhh hii kali inamaana dawa hizo hazibadilishwi kwenye mifumo ya chakula ya hao wanyama? zinabakia kama drug residues!! Cardiac arrest caused by a number of reasons hebu tuache kutishiana tukaaacha kula mnyama wa taifa (Nguruwe) na Kuku tukahamia kwenye bata.....
 
eeeh watu wana roho ngumu jamani ..
Hawako serious na maisha ya wenzao mabwana afya sijui ma dr wa wanyama wanafanya kazi gani?

fl
mimi sijui kama kuna kada ya mabwana afya na wanafanya ni nini?
Hawa watu wamesahaulika au ni wao wenyewe wamefanya wasahaulike?????????????????????????kazi ipo
 
Any scientific evidence?

mhhh hii kali inamaana dawa hizo hazibadilishwi kwenye mifumo ya chakula ya hao wanyama? zinabakia kama drug residues!! Cardiac arrest caused by a number of reasons hebu tuache kutishiana tukaaacha kula mnyama wa taifa (Nguruwe) na Kuku tukahamia kwenye bata.....

Mkuu Mungu mkubwa boti imefika salama hongera na pole na joto la visiwani, ni kweli Research imefanyika na ma dr. wa kitanzania nitakutafutia nikukutumie. umepata shairi la mzenji?
 
Mkuu Mungu mkubwa boti imefika salama hongera na pole na joto la visiwani, ni kweli Research imefanyika na ma dr. wa kitanzania nitakutafutia nikukutumie. umepata shairi la mzenji?

Mhhhh hiyo kali kabisa! Nimelipitia kwa kasi ngoja nilirudie
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom