- Thread starter
- #21
Babylon,Ni muda gani sasa kutokea kuijuwa kwako zanzibar? umeshawahi kusikia Raia wake kukataa kuitwa miongoni mwa majina ya visiwa vyao?wezetu hamataki kuitwa watanganyika imekuwa kama vile Taboo au fedheha , hamtaki kusia au au kuitwa watanganyika na isitoshe hamko tayari kusikia kuisimamisha serekali itwayo ya Tanganyika
Hiyo Taboo na fedheha ipo kwa Wanasiasa na Watumishi wa serekali tena wale wa ngazi za juu, niliwahi kutoleana macho na mmoja nilipotumia jina Tanganyika badala ya Tanzani Bara. Watu hao wapo na sisi tupo tnaojivunia Utanganika sitaona aibu wala kusita nitakapoitwa MTANGANYIKA.