qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
Nimepokea taarifa hivi punde kutoka kwa mwandishi mmoja wa habari kule kagera,kwamba mwandishi wa habari kutoka dar ansbert ngurumo ameingilia mchakato wa viongozi wa CHADEMA mkoani kuchagua waandishi watakaoambatana na dk slaa kule karagwe.Inasemekana ngurumo amepanga wa kwake,hivyo waandishi wengi wamegoma kwenda kule.Hivyo tusitegee habari yoyote kwenye media juu ya ziara ya kamanda wet Dk slaa .
nimeumia sana.
hii siyo tetesi wala majungu bali tunaomba watu wa chadema kuwa makini
nimeumia sana.
hii siyo tetesi wala majungu bali tunaomba watu wa chadema kuwa makini