Ngurdoto Mountain Lodge ni ya nani?

Serikali ilikuwa inamiliki baadhi ya hoteli huko Arusha, Mfano Hotel ya Mount Meru na hotel ya 77, ambazo sasa zimebinafsisha au zimekufa. Iweje serikali isikarabati hoteli hizo ziwe na hadhi ya kimataifa badala yake inafanyia shughuli zake kwenye hotel za watu binafsi kwa gharama kubwa?

Bei ya room kwenye hii hoteli:
US$ 220 kwa mtu kwa siku - Executive room

US$ 2000 presidential villa kwa siku

Hizi ni gharama za malazi tu, bado matunizi mengine. Hivi kwe kama hakuna mkono wa mtu/Mkuu hapa, kwanini serikali ipoteze pesa nyingi hivi kumlipa mtu binafsi wakati inauwezo wa kujenga hotel nzuri tu hapa Arusha?

Kuna hoteli nyingine sijui inatwa Snow Crest au ---, pia nayo nasikia kuna mikono ya wakuu.

Tusubiri


With due respect Mkuu.....Biashara siyo business ya serikali ndugu.Gone are the days when we had a centralised economy!
The essence of privatisation is to shake off hiki unachoki advocate.

Kwanini watz tuna roho za kwanini tu? Nani kakataza na nyie msiwe na za kwenu mtengeneze hizi dollar kama mnadhani ni rahisi hivi?

FYI kuendesha hotel its a very complex business..mjue kuna mikopo inahitaji kulipwa, kuna wafanyakazi wanataka kulipwa, kuna zile costs ambazo ni constant - uwe na mteja mmoja au mia bado costs hizo ziko palepale!
Hiyo dollar 220 is nothing ndugu.
mtabakia kusikia tu wakati wenzenu wanasonga mbele.....
 
Najua ina uhusiano na Hotel Impala, niliwahi kuwa Hotel Impala na ni nilihisi kuna uhusiano mkubwa na mmiliki wake.
 
Serikali ilikuwa inamiliki baadhi ya hoteli huko Arusha, Mfano Hotel ya Mount Meru na hotel ya 77, ambazo sasa zimebinafsisha au zimekufa. Iweje serikali isikarabati hoteli hizo ziwe na hadhi ya kimataifa badala yake inafanyia shughuli zake kwenye hotel za watu binafsi kwa gharama kubwa?

Bei ya room kwenye hii hoteli:
US$ 220 kwa mtu kwa siku - Executive room

US$ 2000 presidential villa kwa siku

Hizi ni gharama za malazi tu, bado matunizi mengine. Hivi kwe kama hakuna mkono wa mtu/Mkuu hapa, kwanini serikali ipoteze pesa nyingi hivi kumlipa mtu binafsi wakati inauwezo wa kujenga hotel nzuri tu hapa Arusha?

Kuna hoteli nyingine sijui inatwa Snow Crest au ---, pia nayo nasikia kuna mikono ya wakuu.

Tusubiri
Acheni wivu na roho ya kwanini! Serikali imiliki hotel kwani serikali inaruhusiwa kufanya biashara? au unataka mambo ya Twin tower yaendelezwe?
 
Ile Hotel inatumiwa kwa vile ya hadhi yake na so far ni the only 5 star Hotel ambayo iko kwenye mazingira yenye hadhi kwelikweli hapo Arusha! Si city center na pana utulivu na facilities kama uwanja wa golf sasa mnataka nini zaidi? au kwa vile ya mzawa mwenzenu Merino Mrema? Au kwa vile Mchagga kwa sio Mzawa au ni Fisadi? This is too much sasa Watanzania utakuta aliyeanzisha hii thread ana ka-guest house anakaita 5 star sasa badala ya kukazana ku-upgrade guest yake afaidi nae anaanza majungu! Tuache hizo biashara ushindani wa halali! Kama wakina Kempinski na Movenpick wanaojenga hotel huko!
 
Serikali ilikuwa inamiliki baadhi ya hoteli huko Arusha, Mfano Hotel ya Mount Meru na hotel ya 77, ambazo sasa zimebinafsisha au zimekufa. Iweje serikali isikarabati hoteli hizo ziwe na hadhi ya kimataifa badala yake inafanyia shughuli zake kwenye hotel za watu binafsi kwa gharama kubwa?

...Ulimbo kwa maana ya kutega au kifupisho cha Ulimboka? Lol!
Anyway, pamoja na majibu mazuri ya wachangiaji waliotangulia...napenda kukumbushia, "kujenga" na "uwezo wa kuendesha ni vitu viwili tofauti."

...kwanini serikali ipoteze pesa nyingi hivi kumlipa mtu binafsi wakati inauwezo wa kujenga hotel nzuri tu hapa Arusha?

Kuna hoteli nyingine sijui inatwa Snow Crest au ---, pia nayo nasikia kuna mikono ya wakuu.

Tusubiri
 
Ni ya Mzee mwenye Impala na Naura Spring, jamaa ana bidii sana sijui usiku analala saangapi, saa usiku unamkuta ofisini kwake pale Impala ukiamka asubuhi unamkuta pale pale, ni hardworking na down to earth.

Uzuri wa huyu boss anaheshimu wafanyakazi wake, chunguza kuanzia meneja wake huyo wa Impara na mastaff niwa siku nyingi sana, ingawa kuna maneno machafu yanampitia ila binadamu hakosi kasoro.
 
Huo wote ni uvumi usiokuwa na ushaihidi wowote nadhani tusiwe watu wa kurukia vitu ambavyo hatuna uhakika navyo. Ngurundoto Hotel imejengwa tukiwa tunaiona kuanzia msingi mpaka rangi. Sasa linapofikia ya nani, kibao cha kibali cha ujenzi kiilionyesha kuwa ya nani.

Kama ni umaarufu au plan yake hayo ni mengine, naomba watanzania tuwe watu wenye kufikiria vitu vya maendeleo.
 
Watanzania tunaweza.

Mnashangaa nini mZawa kumiliki Hotel ya kitalii?

Shughuli nyingi za Kitaifa zinafanyika Ngurdoto kwa sababu ya Strategic Location, Management and Super quality Service.

Kuna usalama kwa viongozi kuliko Hotel nyingine.

Pia ipo katika mji wa Kitalii, hivyo ni kuvutia wageni pia.

Acheni kuspin maneno

hivi lugha huwa ni ngumu jamani
mtu kauliza ya nani anapewa mlolongo wa majibu
 
Serikali ilikuwa inamiliki baadhi ya hoteli huko Arusha, Mfano Hotel ya Mount Meru na hotel ya 77, ambazo sasa zimebinafsisha au zimekufa. Iweje serikali isikarabati hoteli hizo ziwe na hadhi ya kimataifa badala yake inafanyia shughuli zake kwenye hotel za watu binafsi kwa gharama kubwa?

Bei ya room kwenye hii hoteli:
US$ 220 kwa mtu kwa siku - Executive room

US$ 2000 presidential villa kwa siku

Hizi ni gharama za malazi tu, bado matunizi mengine. Hivi kwe kama hakuna mkono wa mtu/Mkuu hapa, kwanini serikali ipoteze pesa nyingi hivi kumlipa mtu binafsi wakati inauwezo wa kujenga hotel nzuri tu hapa Arusha?

Kuna hoteli nyingine sijui inatwa Snow Crest au ---, pia nayo nasikia kuna mikono ya wakuu.

Tusubiri

Mimi sikuelewi?? Serikali ipi??
Serikali iliyoshindwa kuendesha hata mradi wa mabasi??
Serikali imeuza/imebinafsisha viwanda vyote?? iweje Mount meru hotel?
au unataka kuchangamsha jamvi!! Huyu Mrema wa Ngurdoto hata kama kuna mkono ndani yake lakini anachofanya wote tunaona.
 
nadhani kwa kuangalia michango ktk hii thread tutaweza kuona kuwa kuna watu wachache wenye kupenda kuhisihisi tu waonapo mtu ana kitu chake. Hawataki kukubalikuwa inawezekana kufanya vitu vya ukweli bila kuhusisha mambo fulani.

mwacheni mrema aendeshe biashara... Wewe kama umeajiriwa concentrate kwenye ajira yako.kama huna cha kufanya pia endelea kukaa hivyohivyo ukisubiri maisha bora aliyoahidi jk yakujie mlangoni kwako.

kwa wale wenye kujua ukweli pale hisia kama hizi zinapoletwa, kazi yenu iwe kumwaga data kudispell uongo na uzushi kama walivyofanya wengi hapa.

vc
 
hivi lugha huwa ni ngumu jamani
mtu kauliza ya nani anapewa mlolongo wa majibu

hivi swali hili lilitaka jibu rahisi tu kama vile BURN? ingekuwa hivyo hapa si mahala pake maana hapa ni sehemu ya majadiliano hayo ma Q&A huwa hayatoi rum fo diskasheni.
 
Acheni wivu na roho ya kwanini! Serikali imiliki hotel kwani serikali inaruhusiwa kufanya biashara? au unataka mambo ya Twin tower yaendelezwe?

Nipe aya inayozuia serikali kufanya biashara. Hakuna uhusiano wowote kuhusu umilikaji ya biashara na Twin Tower saga. Ni vitu viwili tofauti kabisa.

Mfano, Air France - KLM ambalo ni Shirika la ndege kubwa kuliko lolote ulmwenguni kwa kigezo cha revenues, inamilikiwa na serikali ya Ufaransa kwa asilimia 18.6. Vile vile, inamiliki asilimis 15.7 ya Renault S.A inayotengeneza magari.

Nadhani kwa sasa serikali ya Marekani inamiliki kwa kiasi fulani kampuni kubwa za magari za Marekani (e.g. GM) baada ya kuziokoa kutoka kufilisiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom