Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Jana, kupitia taarifa ya habari kwenye kituo kimoja cha TV, walioneshwa viongozi wa nchi za Afrika Mashariki wakizungumzia ishu ya kutunza misosi, sijui mabadiliko ya tabia nchi. Ilifanyika Ngurdoto. Hivi ngurdoto inamilikiwa na nani?
Ajabu:
Hakukuwa na Kagame wala Museven. Walikuja wawakilishi wao.
Kibaya zaidi:
Wakuu wa nchi waliokuwepo ni wale wachakachuaji:
Kibaki: Mwizi wa kura aliyeingia madarakani kwa 'zulia la damu' ya Wakenya zaidi ya 1000.
Kikwete: Msanii aliyetumia ubovu wa Katiba na umbumbumbu wa Watanzania hasa wa vijijini, kurejea Ikulu ya Magogoni licha ya kuzidiwa kila kitu na Dr. Wilbroad Peter Slaa wa Chadema
Nkurunzinza: Dikteta aliyechini ya muavuli wa demokrasia lakini nchi yake inaongoza kwa 'kupotelewa' na wapinzani katika mazingira tatanishi. Itakumbukwa kuwa aliingia madarakani licha ya kususiwa na vyama vya upinzani kikiwemo cha Aghaton Gwasaa ambaye anaongoza chama cha upinzani chenye nguvu. Burundi ni nchi masikini lakini iko chati katika swala zima la ufisadi wa viongozi kama Tanzania tu.
Kumbukumbu:
Wakati wa kuapishwa kwa Mkwere katika viwanja vya Uhuru, Paul Kagame na Yoweri Mseveni hawakuhudhiria. Hiki si kitu kidogo. Kuna siri wanayo hawa mabwana wawili.
Samuel 6 inabidi afanye utafiti. Atuambie ni kitu gani hasa bila 'unafiki' kama alivyojitapa yeye 'unafiki' kwake 'mwiko'.
Vinginenvyo,
Mfupa uliomshinda Nyerere hawa wachakachuaji utawashinda hata kabla ya kuuona.
Naomba kutoa hoja.
Ajabu:
Hakukuwa na Kagame wala Museven. Walikuja wawakilishi wao.
Kibaya zaidi:
Wakuu wa nchi waliokuwepo ni wale wachakachuaji:
Kibaki: Mwizi wa kura aliyeingia madarakani kwa 'zulia la damu' ya Wakenya zaidi ya 1000.
Kikwete: Msanii aliyetumia ubovu wa Katiba na umbumbumbu wa Watanzania hasa wa vijijini, kurejea Ikulu ya Magogoni licha ya kuzidiwa kila kitu na Dr. Wilbroad Peter Slaa wa Chadema
Nkurunzinza: Dikteta aliyechini ya muavuli wa demokrasia lakini nchi yake inaongoza kwa 'kupotelewa' na wapinzani katika mazingira tatanishi. Itakumbukwa kuwa aliingia madarakani licha ya kususiwa na vyama vya upinzani kikiwemo cha Aghaton Gwasaa ambaye anaongoza chama cha upinzani chenye nguvu. Burundi ni nchi masikini lakini iko chati katika swala zima la ufisadi wa viongozi kama Tanzania tu.
Kumbukumbu:
Wakati wa kuapishwa kwa Mkwere katika viwanja vya Uhuru, Paul Kagame na Yoweri Mseveni hawakuhudhiria. Hiki si kitu kidogo. Kuna siri wanayo hawa mabwana wawili.
Samuel 6 inabidi afanye utafiti. Atuambie ni kitu gani hasa bila 'unafiki' kama alivyojitapa yeye 'unafiki' kwake 'mwiko'.
Vinginenvyo,
Mfupa uliomshinda Nyerere hawa wachakachuaji utawashinda hata kabla ya kuuona.
Naomba kutoa hoja.