Nguo za kuvutia wanawake ni zipi?

frenderPH

JF-Expert Member
Oct 30, 2019
619
806
Leo wadau wangu wa JF nimebaki na kupigwa butwaa baada ya kusikia principal akisema wanaume chuoni tunavaa nguo za kuvutia wanawake mmh sasa hata sielewi hizo ni nguo za aina gani.

Kama mdau wangu unazijua hizo nguo naomba niambie hapo chini niwaelimishe na washkaji zangu.
 
Leo wadau wangu wa JF nimebaki na kupigwa butwaa baada ya kusikia principal akisema wanaume chuoni tunavaa nguo za kuvutia wanawake mmh sasa hata sielewi hizo ni nguo za aina gani.

Kama mdau wangu unazijua hizo nguo naomba niambie hapo chini niwaelimishe na washkaji zangu.
HELA
 
Kama hizi...
tapatalk_1574665826181.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko chuoni huwa mnafundishwa ujinga ee?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni kwa sababu mademu wengi chuoni wako tu pale kujiuza na ndiyo maana wengi wao hawavai chupi makusudi.
 
Leo wadau wangu wa JF nimebaki na kupigwa butwaa baada ya kusikia principal akisema wanaume chuoni tunavaa nguo za kuvutia wanawake mmh sasa hata sielewi hizo ni nguo za aina gani.

Kama mdau wangu unazijua hizo nguo naomba niambie hapo chini niwaelimishe na washkaji zangu.
Mwanamke anavutia akiwa hajavaa nguo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom