Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,611
- 20,935
Bondia kutoka nchini Ufilipino Arnel Tinampay amewasili nchini Tanzania akiwa na daktari wake pamoja na mpishi wake tayari kwa ajili ya pambano litakolopigwa Novemba 29 mwaka huu katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.