CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
TAARIFA MUHIMU:
Mwenyekiti wa CUF-Chama Cha Wananchi Prof. Ibrahim Lipumba leo Jumanne 14/04/2020 saa 02:30 usiku atakuwepo hewani Mubashara kwenye Kipindi Cha Clouds 360 Clouds Tv Kuzungumzia COVID-19 na Madhara yake Kiuchumi.
Usikose kumsikiliza Profesa Nguli wa Uchumi duniani.
IMETOLEWA NA KURUGENZI YA HABARI
CUF- CHAMA CHA WANANCHI
14/04/2020