Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,293
- 7,600
kiukweli hamna watu wambea na wanafiki duniani kama watanzania, always be careful to choose a person to share information with, aisee sijaamini nagombanishwa na mtu ambae sikutegemea kabisa katika maisha yangu.Huyu bwege nikikutana nae naomba nisiwe na shetani kwa hizi hasira nilizonazo.
USHAURI: Kuwa makini katika kuchagua watu wa kushea nao story zako
USHAURI: Kuwa makini katika kuchagua watu wa kushea nao story zako