Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,457
- 2,435
Salutations kwenu!
Nipo Iringa wakuu baridi ni kali sana. Tangu nifike nimeona ngozi yangu ikiharibika sana sana.
Hapo kabla ya kuja Iringa, nilikuwa naishi Pwani. Nilikuwa sipaki mafuta na ngozi ilikuwa nzuri tu. Sasa baada ya kuja Iringa na kutokana na baridi nimekuwa napaka mafuta ya mgando ili kufanya ngozi isiwe kavu lakini bado haisaidii.
Naweza kupaka mafuta lakini baada ya nusu saa yale mafuta yanakauka na ngozi kuwa kavu kama mwanzo.
Je, ni mafuta au kitu gani kizuri cha kupaka au kutumia ili kuifanya ngozi iwe nzuri?
Rangi;- Maji ya kunde.
Jinsia;- ME
Nipo Iringa wakuu baridi ni kali sana. Tangu nifike nimeona ngozi yangu ikiharibika sana sana.
Hapo kabla ya kuja Iringa, nilikuwa naishi Pwani. Nilikuwa sipaki mafuta na ngozi ilikuwa nzuri tu. Sasa baada ya kuja Iringa na kutokana na baridi nimekuwa napaka mafuta ya mgando ili kufanya ngozi isiwe kavu lakini bado haisaidii.
Naweza kupaka mafuta lakini baada ya nusu saa yale mafuta yanakauka na ngozi kuwa kavu kama mwanzo.
Je, ni mafuta au kitu gani kizuri cha kupaka au kutumia ili kuifanya ngozi iwe nzuri?
Rangi;- Maji ya kunde.
Jinsia;- ME