Mshirazi JF-Expert Member Dec 8, 2009 444 170 Dec 11, 2012 #2 Namuona Mitomingi kasima kwa mbaali... Hivi mke wake alikua akiitwa nani vile,,,?
Marumia JF-Expert Member Feb 11, 2012 644 213 Dec 11, 2012 #3 Jamani watu mnakumbukumbu hadi raha... Nimeipenda Hiyo!!
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Dec 11, 2012 #4 Mazoea analipa hadi mchizi kaacha sensa
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,833 155,781 Dec 11, 2012 Thread starter #5 Baba V said: Mazoea analipa hadi mchizi kaacha sensa Click to expand... Kazi zenyewe za sensa mmesahau walivyo henyeshwa kulipwa posho zao?
Baba V said: Mazoea analipa hadi mchizi kaacha sensa Click to expand... Kazi zenyewe za sensa mmesahau walivyo henyeshwa kulipwa posho zao?
TAJIRI MKUU WA MATAJIRI JF-Expert Member Dec 1, 2010 5,708 10,201 Dec 11, 2012 #6 Ngengemkeni Mito Mingi akiwakamata.....
F Fred Otieno Member Apr 8, 2007 17 3 Dec 11, 2012 #7 yule tarishi Onyango ndio aliharibu kila kitu alipokwenda kuchota umbea nyumbani kwa ngoswe. maana mama Tonge na Mazoea palikuwa haposhi
yule tarishi Onyango ndio aliharibu kila kitu alipokwenda kuchota umbea nyumbani kwa ngoswe. maana mama Tonge na Mazoea palikuwa haposhi