MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Ipo taarifa ya NGO kuelekezwa kuwasilisha taarifa zao za fedha TAKUKURU ikiwa ni pamoja na wahisani wao.
Hivi ukaguzi wa mahesabu wa taasisi hizi ukavuliwa na Nani? Je, riport zake upelekwa wapi hadi wanatiliwa mashaka na vyanzo vyao vya fedha?Tutegemee nn baada ya ukaguzi wa taasisi hizo unaotegemea kufanywa na TAKUKURU?
Hivi ukaguzi wa mahesabu wa taasisi hizi ukavuliwa na Nani? Je, riport zake upelekwa wapi hadi wanatiliwa mashaka na vyanzo vyao vya fedha?Tutegemee nn baada ya ukaguzi wa taasisi hizo unaotegemea kufanywa na TAKUKURU?