Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 956
- 1,316
Subirini kifuatacho.Na waliohusika kuwatia watu ulemavu awafanyeje?
Nonsense!
Subirini kifuatacho.Na waliohusika kuwatia watu ulemavu awafanyeje?
Nonsense!
Kassim Majaliwa ni mwongo sana unakumbuka hata wakati wa kifo cha mwendazake,alisema Rais ni mzima na anaendelea na kazi zake,je huyo ni wa kumwamini??Kwanini Waziri mkuu anakuwa na siasa za kitoto kiasi hiki?
Kwanini aongee uongo mkubwa namna hii?
Hafai hata kwa kupakwa sukariKuna mataga wanasema huyu ndiye atakayefuata ofisi namba 1!
Shida ya kauli ya PM ni kuwa Ngorongoro kuko shwari hakuna kinachoendelea..Nyumbu bhana...kwani PM alitoa kauli hiyo muda gani na kifo kimetokea muda gani?, kauli ya PM ilikuwa mahsusi kwa clip ya juzi yake na si juzi wala jana.
Huu uongo utamgharimu huko aendakoKassim Majaliwa ni mwongo sana unakumbuka hata wakati wa kifo cha mwendazake,alisema Rais ni mzima na anaendelea na kazi zake,je huyo ni wa kumwamini??
Amekufaje wakati Kassim alisema bungeni hakuna mapigano?
Alisema mnataka Rais aonekane wapi, Magomeni ?Hebu tukumbushane PM aliwahi kusemaje khs fununu za Magu kufariki?
Hapana nitasema nikiongea na rafiki yangu Munga Molinge ila kiukweli machozi yanatiririka ngorongoro watu wasio na hatia kwenye taifa Lao. U know ukiwa rais ni sovereign ila jaribu kutumia reasonable man test kuwa angekuwa mwalimu angechukua hatua hii?Unataka kusema wamasai wengi wamekufa?
Kassim majaliwa anapaswa kujiuzulu kwa kutoa taarifa ya uongo bungeni. Sijui jiwe aliona nini mpaka akampa cheo kikubwa mtu mwongo na asiyejua nini kama majaliwaMONGELLA: ASKARI AMEUAWA KWA MSHALE LOLIONDO
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amethibitisha kutokea mapigano Wilayani Ngorongoro katika eneo la Loliondo ambapo askari polisi mmoja aliuawa jana Julai 11, 2022
“Alasiri ya jana (Julai 11) askari mmoja aliuawa kwa kupigwa mshale na kundi la watu lililotokea likitaka kuathiri zoezi la kuweka alama,” - Mongella
Aidha, RC Mongela amesema hakuna kituo chochote cha Afya ama hospitali yenye majeruhi na ameomba kama wapo wajitokeze.
Hao ni ndugu zake katika imaanNdugu zake kivipi mkuu?
Anajichafua mwenyewe kwa tabia za uongo uongo na uzushi.Kuna watu wanamchafua majaaliwa mchana kweupe akose sifa za kugombea uraisi 2025, nishastuka. .
Hekima saa nyingine inatakiwa ili kutochochea vitaKwanini Waziri mkuu anakuwa na siasa za kitoto kiasi hiki?
Kwanini aongee uongo mkubwa namna hii?
No sio ujinga huu.Hekima saa nyingine inatakiwa ili kutochochea vita
Mapigano yeyote inaweza ikamalizwa kwa propaganda hata kama ikibidi kuweka uongo
Na walifanikiwaWamaasai walijaribu kumzuia wakati askari wanafanya kazi yao
Hao majeruhi hawana akili! Yaani wajitokeze ili wakamatwe! Mkuu wa Mkoa hayuko serious hata kidogo.MONGELLA: ASKARI AMEUAWA KWA MSHALE LOLIONDO
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amethibitisha kutokea mapigano Wilayani Ngorongoro katika eneo la Loliondo ambapo askari polisi mmoja aliuawa jana Juni 10, 2022
“Alasiri ya jana (Juni 10) askari mmoja aliuawa kwa kupigwa mshale na kundi la watu lililotokea likitaka kuathiri zoezi la kuweka alama,” - Mongella
Aidha, RC Mongela amesema hakuna kituo chochote cha Afya ama hospitali yenye majeruhi na ameomba kama wapo wajitokeze.
Waziri mkuu anahabarishwa tu kinachoendelea. Hawezi danganya tu wakati anajua tuko kwenye dunia ya kidigitali, ukweli haufichiki sasa, sio mirahisi kihivyo. .Anajichafua mwenyewe kwa tabia za uongo uongo na uzushi.
Hawa jamaa wanaleta siasa kwenye mambo yenye madhara makubwa kwa Taifa! Mara hao Wamasai wanatoka nchi jirani! Mara hakuna aliyejeruhuwa! Mara picha ni za miaka 3 iliyopita!Hili Taifa tumerogwa. Nilisema jana huyu waziri mkuu atoke tu lakini wakaja juu Sasa ona mambo yote hadharani. Siku zote njia ya mwongo nifupi. Mkuu wa mkoa wa Arusha amesema askari wao kafa kwa mshale chanzo ni vita inayoendelea Kati ya wamasai na polisi. Jana waziri mkuu alikanusha na kusema loliondo ni shwari. View attachment 2257218