Awali ya yote naomba nitumie nafasi hii kuwasalimu nyote Wanajamii Forum na Kuunga Mkono Mtazamo,itikani, Imani, na Hoja mbali mbali mnazozitoa kuhusiana na Mwelekeo wa Uchaguzi wa Tanzania October 2010.Whether I agree or against,but its freedom of speech as per Article 18 of United Republic of Tanzania Constitution and also it is prediction of what will happen to our general election.
Baada ya utangulizi huo let me go direct to my concern,NAOMBA KUULIZA NGORONGORO KUNANI? Ni kweli kwamba kupitia vyombo vya habari wanasiasa wengi wametangaza nia zao za kuwania tena Uchaguzi ujao, wengine wakitetea nafasi zao na wengine wametangaza nia zao ya kuwania kwa mara ya kwanza au kujaribu tena kwa kushindwa uchaguzi wa 2005. Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, October ndio wasawa wa mwafaka wa Watanzania kufanya Uchaguzi mkuu hata hivyo wanasiasa waliotangaza nia ya kuwania wanatakiwa wasome alama za nyakati.
Swali naomba kujua Waliotangaza nia ya kuwania Ubunge Wilaya ya Ngorongoro pamoja na sifa zao, ukiziondoa zile za Kikatiba ya kujua Kusoma na Kuandika.May it pleases you politics investigators
Baada ya utangulizi huo let me go direct to my concern,NAOMBA KUULIZA NGORONGORO KUNANI? Ni kweli kwamba kupitia vyombo vya habari wanasiasa wengi wametangaza nia zao za kuwania tena Uchaguzi ujao, wengine wakitetea nafasi zao na wengine wametangaza nia zao ya kuwania kwa mara ya kwanza au kujaribu tena kwa kushindwa uchaguzi wa 2005. Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, October ndio wasawa wa mwafaka wa Watanzania kufanya Uchaguzi mkuu hata hivyo wanasiasa waliotangaza nia ya kuwania wanatakiwa wasome alama za nyakati.
Swali naomba kujua Waliotangaza nia ya kuwania Ubunge Wilaya ya Ngorongoro pamoja na sifa zao, ukiziondoa zile za Kikatiba ya kujua Kusoma na Kuandika.May it pleases you politics investigators