Sumti
JF-Expert Member
- Jan 30, 2016
- 2,311
- 2,156
Parody la mshambuliaji hili. PeriodWanabodi JF!,
Nawasalimia popote pale mlipo!
Naomba niende kwenye Mada hii kuhusu NGORONGORO CONSERVATION AREA AUTHORITY.(NCAA).
Nimefuatilia mijadala mbalimbali ambayo imekuwa ikiendelea kwenye social platforms,takriban muda wa wiki moja na ushei sasa.