Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
Shirika la ujasusi la Marekani linatutabiria waafrika zaidi ya milioni mia sita kupoteza uhai kati ya miaka 10 hadi 15 ijayo kutokana na ngono zembe.................hali hii yamaanisha ya kuwa asilimia zaidi ya 75 ya waafrika kufa katika kipindi hicho..............kutokana na balaa ya ukimwi..
pili wanabashiri ya kuwa asilimia 25 ya watu wote dunaini watakufa kwa sababu ya ukimwi katika muda huo huo..................mbaya zaidi CIA inaona hapatakuwepo na kinga au tiba ya maana katika kipindi hicho kutokana na gonjwa hili kuwa ni laana zilizoandikwa katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana.........ya kuwa malaika wa Mungu (Angel of death) ataiteketeza 25% ya walimwengu kama ishara za kuanza safari ya mwisho wa dunia na Muumba kuonyesha ghadhabu yake kwa maovu yetu...................CIA wanaamini mwisho wa dunia umeanza kusogea sana na dunia hii haina miaka 500 mbeleni...............
waumini wa ngono zembe mpo????????????????????????????????????????
chongeni majeneza na chagueni maeneo ya kuzikwa huku mkiandika wosia wa mlichonacho kiende wapi..........................ila acheni kusingizia magonjwa mengine na kuendelea kumkashifu Muumba kwa uongo kuwa malaria sugu, kifaduro, moyo, shinikizo la damu, kisukari kubwa.............na laana zifananazo na hizo ndizo zimewaangamiza......semeni ukweli kuwa ni ngono zembe ndiyo imewafikisha kwenye kiama tajwa.............huu utakuwa msaada wa kuelimisha wale wanaobaki.................the remnants........just as it was prophesied in the Bible........
SOURCE: A book called "THE SIGNATURE OF GOD"...........................................kitafuteni kwa bidii na mkisome kwa uangalifu..............
pili wanabashiri ya kuwa asilimia 25 ya watu wote dunaini watakufa kwa sababu ya ukimwi katika muda huo huo..................mbaya zaidi CIA inaona hapatakuwepo na kinga au tiba ya maana katika kipindi hicho kutokana na gonjwa hili kuwa ni laana zilizoandikwa katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana.........ya kuwa malaika wa Mungu (Angel of death) ataiteketeza 25% ya walimwengu kama ishara za kuanza safari ya mwisho wa dunia na Muumba kuonyesha ghadhabu yake kwa maovu yetu...................CIA wanaamini mwisho wa dunia umeanza kusogea sana na dunia hii haina miaka 500 mbeleni...............
waumini wa ngono zembe mpo????????????????????????????????????????
chongeni majeneza na chagueni maeneo ya kuzikwa huku mkiandika wosia wa mlichonacho kiende wapi..........................ila acheni kusingizia magonjwa mengine na kuendelea kumkashifu Muumba kwa uongo kuwa malaria sugu, kifaduro, moyo, shinikizo la damu, kisukari kubwa.............na laana zifananazo na hizo ndizo zimewaangamiza......semeni ukweli kuwa ni ngono zembe ndiyo imewafikisha kwenye kiama tajwa.............huu utakuwa msaada wa kuelimisha wale wanaobaki.................the remnants........just as it was prophesied in the Bible........
SOURCE: A book called "THE SIGNATURE OF GOD"...........................................kitafuteni kwa bidii na mkisome kwa uangalifu..............