Nimebahatika kufanya utafiti kuhusu "Political Situation in Africa" na matokeo yaonyesha ngome ya vyama tawala ndizo zinazoongoza kwa kutengeneza housegirls and domestic workers pamoja na watu wafanyao kazi katika mazingira hatarishi na ujira mdogo. Je, TZ ni kweli? Je sehemu wanakotoka housegirls wengi, CCM ilipata ushindi wa kishindo? Unalinganishaje na sehemu zenye ushindani mkubwa wa kisiasa? Kama ndiyo, elimu kwa masikini ni muhimu sana la sivyo tabaka hili litaendelea.