Ngome ya upinzani itaendelea kubaki Kaskazini watakaobadilika ni viongozi na vyama tu, alianza Mrema, Mbowe na sasa Mbatia

Katika hili ni lazima niwapongeze wanakaskazini kwa sababu wanajitambua tofauti na wanakusini.

Wengi waliamini baada ya Chadema kuishiwa " mipango " basi ACT wazalendo watakuwa chama kikuu cha upinzani, hata mimi awali niliamini hivyo kumbe siyo.

Ngome ya upinzani ni Kaskazini ndio maana wabunge wa Chadema mh Komu na Selasini wameaga kabisa kuwa wamehamia Nccr mageuzi na hawajachukuliwa hatua zozote.

Jana wabunge Silinde na Lijualikali wamehudhuria bungeni Chadema wanataka kuitisha kamati kuu kuwajadili kwanini wamekiuka maagizo ya chama ilhali inajulikana wazi mbunge anawakilisha wananchi wote bila kujali itikadi.

Selasini alikuwemo bungeni na ameiponda sana Chadema lakini hawamgusi.

Maendeleo hayana vyama!
Fatuma umesahau.... kuna kipindi (uchaguzi nadhani wa 2000) ngome ilikuwa CUF ya Lipumba!
 
Fatuma umesahau.... kuna kipindi (uchaguzi nadhani wa 2000) ngome ilikuwa CUF ya Lipumba!
Mnadhimu umewalisha wenzio matango pori sasa wanalia njaa huko karantini...... Wewe na Halima mapeta tu na maslahi ya KUB.

Hongera Silinde na Lijualikali kwa kumgomea dada mbabe!
 
Kwa taarifa yako hata pale Vunjo mbunge ajaye ni mzee Mrema tuombe uzima.

CCM haiwezi kusalimisha majimbo kizembe hivyo......... Mbatia atashindanishwa na Lyatonga na habari yake itaishia hapo!
wewe acha hizo maneno mkuu.
mbatia anasifiwa kila uchwao alafu apigwe chini na mrema ?
mrema huyu huyu liatonga?

Siaa za bongo system ndo inaamua nani awe mbunge nani apigwechini wala sio kura.
nccr atapata zaidi ya viti 10 vya ubunge.
viti 6 vitatoka kaskazini.
kama kuna anaeweza shindana na system basi ashindane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom