Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,318 33,125 Nov 20, 2009 #2 Popopoooo huu ndio Mwisho wa Dunia Tumekwisha jamani turudi Kwa Mwenyeezi Mungu jamani
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Nov 20, 2009 Thread starter #3 MziziMkavu said: Popopoooo huu ndio Mwisho wa Dunia Tumekwisha jamani turudi Kwa Mwenyeezi Mungu jamani Click to expand... kwanini mkuu?
MziziMkavu said: Popopoooo huu ndio Mwisho wa Dunia Tumekwisha jamani turudi Kwa Mwenyeezi Mungu jamani Click to expand... kwanini mkuu?
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Nov 20, 2009 Thread starter #5 Pengo said: Anaonyesha uwepo wake m/mungu Click to expand... Mungu yupo
eRRy JF-Expert Member Jun 12, 2009 1,125 204 Nov 20, 2009 #6 Natamani kumfuga! Ila hii imetengenezwa Photoshop tu! Great
Raia Fulani JF-Expert Member Mar 12, 2009 10,877 2,758 Nov 22, 2009 #8 mnaamini kweli? huyo kachorwa tu jamani duh!
Sikonge JF-Expert Member Jan 19, 2008 11,550 6,062 Nov 22, 2009 #9 MziziMkavu said: Popopoooo huu ndio Mwisho wa Dunia Tumekwisha jamani turudi Kwa Mwenyeezi Mungu jamani Click to expand... Huko ndiyo wapo hadi wenye ramani ya KYELA na upande mmoja sura ya Mwakyembe na mwingine Mwakipesile.
MziziMkavu said: Popopoooo huu ndio Mwisho wa Dunia Tumekwisha jamani turudi Kwa Mwenyeezi Mungu jamani Click to expand... Huko ndiyo wapo hadi wenye ramani ya KYELA na upande mmoja sura ya Mwakyembe na mwingine Mwakipesile.
M mchajikobe JF-Expert Member Aug 14, 2009 2,652 1,238 Nov 26, 2009 #11 Sisi tulikuwa na mbuzi anasura ya Obama ubavuni tukamchinja kabla ya Obama hajachukua kiti cha Bush,ila picha za huto mbuzi bado ninazo!!
Sisi tulikuwa na mbuzi anasura ya Obama ubavuni tukamchinja kabla ya Obama hajachukua kiti cha Bush,ila picha za huto mbuzi bado ninazo!!
M mchajikobe JF-Expert Member Aug 14, 2009 2,652 1,238 Nov 26, 2009 #12 Sisi tulikuwa na mbuzi anasura ya Obama ubavuni tukamchinja kabla ya Obama hajachukua kiti cha Bush,ila picha za huyo mbuzi bado ninazo!!
Sisi tulikuwa na mbuzi anasura ya Obama ubavuni tukamchinja kabla ya Obama hajachukua kiti cha Bush,ila picha za huyo mbuzi bado ninazo!!
M mchajikobe JF-Expert Member Aug 14, 2009 2,652 1,238 Nov 26, 2009 #13 Jamani eeeeee,Me am tired of being fooled,hamnielewiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii??????
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Nov 26, 2009 Thread starter #14 mchajikobe said: Sisi tulikuwa na mbuzi anasura ya Obama ubavuni tukamchinja kabla ya Obama hajachukua kiti cha Bush,ila picha za huyo mbuzi bado ninazo!! Click to expand... tuwekee hapa live
mchajikobe said: Sisi tulikuwa na mbuzi anasura ya Obama ubavuni tukamchinja kabla ya Obama hajachukua kiti cha Bush,ila picha za huyo mbuzi bado ninazo!! Click to expand... tuwekee hapa live
Typical JF-Expert Member Feb 26, 2008 514 404 Nov 26, 2009 #16 hiii si ya kutengeza kweli!mambo ya editing - photoshop