Salama salimini
Senior Member
- Dec 2, 2013
- 191
- 38
Ninauza ng'ombe bora wa maziwa (product za kituro) kwa bei ya jumla Tsh. 900,000/- kwa kila mmoja.
Sababu za kuwauza
Mahali walipo:
- Ng'ombe wako watano na wote wanakamuliwa na wana mimba kati ya miezi mitatu na minne.
- Wanatoa lita sita - mpaka tisa kwa mkamuo (Ni ng'ombe wazuri - naambatanisha picha)
Sababu za kuwauza
- Kazi yangu ni ya kusafiri-safiri na hivyo ng'ombe wanakosa matunzo kiasi cha production kushuka.
- NB: Bei hii ni kwa atakayechukua wote kama ni reja-reja basi bei yake itakuwa ni 1M kwa kila ng'ombe.
Mahali walipo:
- Mbeya mjini.