EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kama mnakumbuka wakati wa kampeni kuna vijana wawili walikuwa wanatafutwa na polisi kwa tuhuma za kumfalisha mbwa jezi ya CCM. Pichani ni wanachama na wapenzi wa vyama vya CCM na CUF wakiwa katika harakati za kusherehekea ushindi wa CCM huko Zanzibar huku wakiwa wamemvalisha ng'ombe kofia ya CCM. Sasa sijui hawa nao watatafutwa na polisi?
View attachment 16134
View attachment 16134