William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Waraka wa Wazi kwa Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, nimesikitishwa na hatua zako za hivi karibuni za kujaribu kumpotosha kwa makusudi rais wetu. Umekuwa mnafiki mkubwa na muongo nambari moja ndani ya CCM, kulikoni? Kutokana na unafiki wako sasa CCM imeanza kupoteza dira za kwenda mbele na hadhi mbele ya jamii.
Mzee Kingunge, inatia aibu na uchungu kwa mtu kama wewe na wenzako unayejua miiiko ya chama kushindwa kabisa kuishi kwa maadili ya TANU, je unafanya haya kwa kuwa hakuna wa kukuuliza au kwa sababu Mwalimu hayupo tena?
Umebadilika mpaka sasa unatetea ufisadi ndani ya CCM?
.....Itaendelea..................!
Source: Mwana-Halisi.
Mzee Kingunge, inatia aibu na uchungu kwa mtu kama wewe na wenzako unayejua miiiko ya chama kushindwa kabisa kuishi kwa maadili ya TANU, je unafanya haya kwa kuwa hakuna wa kukuuliza au kwa sababu Mwalimu hayupo tena?
Umebadilika mpaka sasa unatetea ufisadi ndani ya CCM?
.....Itaendelea..................!
Source: Mwana-Halisi.