hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
Yeah ni bonge langoma mamaee.... Atakae sema wimbo huu mbaya ..itakuwa ana mimba ya chukiBonge la ngoma aisee, naona Kiba kaamua
Yeah ni bonge langoma mamaee.... Atakae sema wimbo huu mbaya ..itakuwa ana mimba ya chukiBonge la ngoma aisee, naona Kiba kaamua
Hii ngoma ni matata zaidi ya grace aisee... Ni balaa tangu mwaka uanze tz haijatoka ngoma Kali kama hii ..chorus yake ni fireeeeeeeeeeMnooo,
Huu wimbo Tanzania ilifaa ukaombee mkopo wa World Bank.
HahahaKuwa muhuni kuna rules zake..
1. Muhuni huwa hajisemi / hajitangazi kuwa muhuni
2. Uhuni hujionesha wenyewe.
Vipi form 4 mnarudi lini shule?
More than goodKwa sasa bongo kama hujaweka beat na vimaneno vya kinaija utaambiwa wimbo mbovu au sio international "brainwashed creatures"...
kwangu mimi the song is good
Well saidMe wasafi ndo chama langu, but hii ngoma kiba kaua...