Nzokanhyilu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2007
- 1,078
- 93
Kwa kweli hiyo tittle hata nami ilikimbiza kusoma, nilijua London ngoma nje nje..(HIV/AIDS) haya watani zangu wazaramo, jongolo jangu wa diba mie mwanangu kulumangira na kisamvu......kwa kuwa ni bure siji, maana bure aghali sana
Ushi
We ushirombo we si unatoka maparachichini? Mambo ya pwani umejuaje tena? Chijui nikapige picha kwa niaba ya wakereketwa?