Luck money
Member
- Jan 14, 2019
- 16
- 0
wakuu,,na waheshimiwa mchango wenu ni wa kuheshimiwa na kuthaminiwa pia katika muziki wangu,naomba kama utasikiliza ngoma hizi nipe maoni yoyote yale yawe positive or negative yote nitayapokea,na kama nimezingua nichane hapa hapa ili nijilekebishe na nifikishe ujumbe kwa wasanii wenzangu pia chukulia wewe ni judge ungeipa ngoma ipi iwe bora kuliko nyingine!? Niambie hapa tuone ipi ni kali ikiwa lengo letu ni moja tu kuupeleka mziki wetu kimataifa na dunia kiujumla, lakini ikumbukwe kuwa nyimbo hizi mbili zimeimbwa na zinamilikiwa na #official Lucky money#from BJNmusic empire,mbeya;