Ngoja niwe muwazi jamani; Maisha yangu ni magumu

Dah! Maisha magum jaman, ni mwaka wa pili tokea nimalize chuo lakin bado nakaa tu nyumbn kwa sababu nimekosa ajira yeyote itakayoniwezesha kujitegemea, hata mchumba sina, mtoto sina, hata furaha niliyokua nayo zaman kwny maisha yang ilishapotea kabisa! yan kwa ufupi sina hili wala lile... Kuna wakati hua nawaza sana maana nina miaka 24 saiz lakin sina kazi, kinachoniuma zaidni kuwaona wenzang waliokua nyuma yangu wao wakiwa wamepiga hatua kubwa.
Hivi ninavyoongea kuna Mwarabu anatafuta kijana wa kusimamia shamba( Farm manager) la Hekari 30. Mhusika anatakiwa awe na ujuzi wa ufugaji wa samaki, kilimo na ufugaji. Pia anatakiwa awe mtu wa kujituma ili kufikia malengo.
Hadi sasa sijapata kijana mwenye hizo sifa na mbaya zaidi vijana wengi hawataki kazi za nguvu na wanaotaka hawana ujuzi.Wapo wapo tu.
 
Dogo nimeipenda. Una akili. Ni mwiko kuchagua kazi. Mtaro chimba, beba zege hata tofali. Mwiko kukata tamaa na kushinda sebuleni unaangalia tv.
Ndio Kaka. Yaani as long as huna ajira unaanzaje kuchagua kazi. Chochote kinachoingiza mpunga kama ni kazi halali inakuletea heshima
 
Pambana Kijana...mm nakumbuka kipindi namaliza chuo kabla sijapata ajira nilijichanganya kwenye vibaru mbalimbali ,nilikuwa na shemeji yangu fundi ujenzi nikawa natoka naye mm nikawa kama msaidizi wake wa kuchanganya mchanga/kubeba tofali/,siku nyingine nipo kwenye zege.
Cha msingi usichague kazi.Unafanya hivyo vyote ukiwa na Plan yako kichwani ya kukitafuta kile unachikitaka
Siku zote ukiwa na kazi ni rahisi kupata kazi nyingine. Michongo itajitokeza kadiri unavyokutana na watu.
 
Miaka 24 kwa familia nyingi bado tegemezi na unaishi home. Relax maisha ni hatua, usizuzuke na life hili la kwenye mitandao. Hata humu ndani 50% ni choka mbovu.
 
Kama unavaa soksi na malapa acha kwanza alaf jichanganye na wana hapo kitaa mpige kazi za halali vyeti visahau kidogo
Alaf anza kuishi maisha yako bila kujilinganisha na wengine, kila mafanikio ya mtu yana siri kubwa ndani yake, Kuna wengne washirikina wanatoa kafara we ukitaka kujilinganisha nao upate mafanikio ya haraka wakat haupo knywe njia zao utauona moto
 
Dah! Maisha magum jaman, ni mwaka wa pili tokea nimalize chuo lakin bado nakaa tu nyumbn kwa sababu nimekosa ajira yeyote itakayoniwezesha kujitegemea, hata mchumba sina, mtoto sina, hata furaha niliyokua nayo zaman kwny maisha yang ilishapotea kabisa! yan kwa ufupi sina hili wala lile... Kuna wakati hua nawaza sana maana nina miaka 24 saiz lakin sina kazi, kinachoniuma zaidni kuwaona wenzang waliokua nyuma yangu wao wakiwa wamepiga hatua kubwa.
jiunge CCm
 
Hili ni tatizo kubwa sana. Anza uchinga mkuu. Omba mtaji wa laki anza uchinga. Zunguka kama huna akili. Wanasema "why do you give up? Where is that gonna get you?"
 
Afazalo yako unakaa nyumbni kwenu

Kunae wenzako wapo mjini na wanaishii kwa shembeji yake

AKiskia dadake wanawgombna na wemewe tu ananza kupanga nguo kwenye shangazi kaja


Acha kuchagua kazi mdogo wangu
 
Huu ndio uhalisia wa maisha, it has never been easy, anywhere.
 
Dah! Maisha magum jaman, ni mwaka wa pili tokea nimalize chuo lakin bado nakaa tu nyumbn kwa sababu nimekosa ajira yeyote itakayoniwezesha kujitegemea, hata mchumba sina, mtoto sina, hata furaha niliyokua nayo zaman kwny maisha yang ilishapotea kabisa! yan kwa ufupi sina hili wala lile... Kuna wakati hua nawaza sana maana nina miaka 24 saiz lakin sina kazi, kinachoniuma zaidni kuwaona wenzang waliokua nyuma yangu wao wakiwa wamepiga hatua kubwa.
@kelvin900 miaka 24 ndio inakupa wasiwasi Kuna wenzako wanautafuta mwaka wa 40 na bado hawana wasiwasi na maisha.
Kwa sisi wengine ambao tumeshavuka hapo na hatukukwama tunakutoa wasiwasi kwamba siku moja utakuja kuzungumza lugha nyingine tofauti na hi iwapo tu utaweka Nia njema juhudi na ucha Mungu.
 
Pole sana,,ila usikate tamaa kwani miaka 24 bado una muda wa kufanya mambo makubwa, kikubwa weka malengo na yasimamie,pia jaribu kuzingatia mambo yafuatayo

-Usikubali kukaa nyumbani siku nzima bila kutoka,,nenda mtaani ujichanganye na watu hasa unaoona wanajishughulisha,jaribu kushare nao idea yako ya kuhitaji kazi

-Kwa hali ya sasa usikomae kupata kazi ya professional, tafuta kazi yeyote ya halali itakayokuingizia hata buku mbili kwa siku,mind you,kupata kazi ya buku mbili ni mwanzo wa kupata kazi ya buku tano na kutengeneza network zaidi

- Kama una ndg.yupo mkoa au Wilaya nyingine na ambaye yupo willing kukupokea muombe umtembelee na ukienda jaribu kuchunguza fursa na kazi ambazo unaweza ukafanya (sometimes ukiwa ugenini ni rahisi kujichanganya na kazi yeyote ya halali kuliko unapokuwa mazingira ya home ambapo umezoeleka na unafahamika

-Ukibahatika kupata kazi ifanye kwa weledi na kwa uaminifu mkubwa,,uaminifu ni changamoto sana kwa vijana, wengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom