Ngoja niwe muwazi jamani; Maisha yangu ni magumu

Pamoja na mengi yaliyosemwa, ila nadhani graduates wengi bado kuna tatizo kwenye kuchagua kazi. Hapa napoongea mimi nimeshawapeleka vijana wawili wakaanze kazi sehemu na wakakataa kisa wanadai mshahara mdogo. Hivi kweli kwa mtu ambae umemaliza chuo, huna ramani, huna experience yoyote, unapata mtu anakupeleka sehemu hakuna interview wala nini we njoo uanze kazi kesho...... kazi ni ya ofisini full kipupwe wala hutoki jasho... eti unakataa kisa unataka ulipwe laki nane kwa mwezi. Wakati sehemu zingine watu wanaomba hata kujitolea bure wanakosa?
 
Nilimaliza Kidato cha sita nikiwa na miaka 26. Niliingia dar kutafuta life sometimes nalala vichakani hapa Dar. Leo hii kidogo kuna mwanga. Namaanisha naweza kujihudumia na kuwahudumia wengine.
Wewe 24 ushamaliza degree unalialia nini?
 
Dah! Maisha magum jaman, ni mwaka wa pili tokea nimalize chuo lakin bado nakaa tu nyumbn kwa sababu nimekosa ajira yeyote itakayoniwezesha kujitegemea, hata mchumba sina, mtoto sina, hata furaha niliyokua nayo zaman kwny maisha yang ilishapotea kabisa! yan kwa ufupi sina hili wala lile... Kuna wakati hua nawaza sana maana nina miaka 24 saiz lakin sina kazi, kinachoniuma zaidni kuwaona wenzang waliokua nyuma yangu wao wakiwa wamepiga hatua kubwa.
Pole sana mkuu. Hayo ndiyo maisha. Ila mwiko kukata tamaa.

Uko wapi mkuu? kama unaweza njoo nikupe shamba huku mkuranga unilimie nitakupa pesa ya kuanzia maisha ndugu yangu.

Au kama unaweza uwe kibarua wangu wa kulinda shamba na kusimamia shughuli zote za shamba utakula bure, utalala bure na mshahara nitakulipa.
 
Pamoja na mengi yaliyosemwa, ila nadhani graduates wengi bado kuna tatizo kwenye kuchagua kazi. Hapa napoongea mimi nimeshawapeleka vijana wawili wakaanze kazi sehemu na wakakataa kisa wanadai mshahara mdogo. Hivi kweli kwa mtu ambae umemaliza chuo, huna ramani, huna experience yoyote, unapata mtu anakupeleka sehemu hakuna interview wala nini we njoo uanze kazi kesho...... kazi ni ya ofisini full kipupwe wala hutoki jasho... eti unakataa kisa unataka ulipwe laki nane kwa mwezi. Wakati sehemu zingine watu wanaomba hata kujitolea bure wanakosa?
Mkuu usitake watu wajirahisishe kisa wana shida. Hao wanaokataa wanajua thamani yao. Bora afe kuliko kwenda kwenye kampuni kulipwa mshahara wa hovyo ambao haulingani na elimu yake.
 
Mkuu usitake watu wajirahisishe kisa wana shida. Hao wanaokataa wanajua thamani yao. Bora afe kuliko kwenda kwenye kampuni kulipwa mshahara wa hovyo ambao haulingani na elimu yake.
Sawa mkuu. Hivi ukikaa nyumbani unalipwa shilingi ngapi? Una gain experience gani? Unakutana na watu gani wa kujenga connection? Au unadhani kazi zitakufuata hapo nyumban? Thamani yako inapanda au inashuka unapokaa nyumbani? Kwanza graduate fresh from school ni thamani gani uliyo nayo, ni hicho cheti na gpa yako ya 2.0? Thamani my foot! Fanya kazi wewe hata ya bure thamani yako wataiona huko kazini, ukikaa nyumbani hiyo thamani itaonekana vipi? Nonsense !!
 
Pamoja na mengi yaliyosemwa, ila nadhani graduates wengi bado kuna tatizo kwenye kuchagua kazi. Hapa napoongea mimi nimeshawapeleka vijana wawili wakaanze kazi sehemu na wakakataa kisa wanadai mshahara mdogo. Hivi kweli kwa mtu ambae umemaliza chuo, huna ramani, huna experience yoyote, unapata mtu anakupeleka sehemu hakuna interview wala nini we njoo uanze kazi kesho...... kazi ni ya ofisini full kipupwe wala hutoki jasho... eti unakataa kisa unataka ulipwe laki nane kwa mwezi. Wakati sehemu zingine watu wanaomba hata kujitolea bure wanakosa?
Kuna dogo humu nilimchorea ramani ya misituni kwenye mbao huko mufindi..kula kulala bure..nikamuomba sana kakangu nikimwambia dadake nimesoma naye .wiki analojiandaa kwenda akachomoa akasema ameapply posts fulani ..andika yake tu nikajua huyu haya upite mchujo mara alfu kumi hawezi appear...!ss hv anaruka ruka tu kama popcorn...!
Mie naamini hao madogo ulowachorea walikua ni jinsia ya me" demu nadra sana kuchomoa...ajabu unaskia ohh wanawake tunalipiwa frem na wanaume zetu...wanaume hao kwio!
 
Sawa mkuu. Hivi ukikaa nyumbani unalipwa shilingi ngapi? Una gain experience gani? Unakutana na watu gani wa kujenga connection? Au unadhani kazi zitakufuata hapo nyumban? Thamani yako inapanda au inashuka unapokaa nyumbani? Kwanza graduate fresh from school ni thamani gani uliyo nayo, ni hicho cheti na gpa yako ya 2.0? Thamani my foot! Fanya kazi wewe hata ya bure thamani yako wataiona huko kazini, ukikaa nyumbani hiyo thamani itaonekana vipi? Nonsense !!
Nadhani umejionea mwenyewe akili zetu zilivyo😀😀! Thamani Bongo njaa tupu! Ila kuna watu washazoea kuishi maisha mfu aise mtu unakosa hata ka elfu 10😶!
 
Ni moja kati na njia za mafanikio. Lazima utoke uende mbali. Utasota lakini mwisho utachomoka.
Hapa ndio huwa namkubali SHILOLE na wimbo wake wa "Nakomaa na Jiji la Dar"

Mie mwaka fulani nilimaliza chuo ngazi ya Diploma nikaenda home mikoa ya Kaskazini. Home nilikaa mwaka mmoja na nusu. Nilipoteza mambo mengi sana. Nikaamua nindoke kwenda mjini Dodoma kulikuwa na jamaa yangu alikuwa bachelor ni kamwambia nakuja huko kukaa na wewe but masuala ya chakula nitajua mwenyewe jamaa akakubali. Nilivyoenda nilijichanganya mitaani mpaka nikapata mchongo ambao niliufanya kwa miaka 2. Nikaacha nikaenda kuongeza elimu baada ya kufanya application chuo fulani. Baada ya kumaliza chuo nikatafuta jamaa mmoja Dar nikamwambia nakuja kukomaa na wewe suala la kula usiwaze mie pa kulala tu. Jamaa akasema njoo. Baada ya kufika nikawa najichanganya Kariakoo Mtaa wa Narung'ombe. Baada ya miezi mi tatu nikapata Bonge ya kazi.
Hapa nilijiapiza kwa Mungu naenda kukomaa na jiji la Dar. Baada ya Mwaka mmoja SHILOLE akatoa wimbo huo na huwa namkubali sana.
 
Ukiendelea kuwawaza hao wenzako utapata ugonjwa wa moyo bure..

Kila mtu ana yake anayopitia, sema nini wengi hawasemi hata hao unaowaona wana furaha hawana hiyo furaha unayoiwaza wanayo.

Utapata kazi, mke gari na nyumba na mwisho wa siku utajua hujui..maisha yana mambo mengi. Na kuishi kwingi ni kuona mengi, na inabidi ushuhudie vifo vingi ili uone thaman ya uhai.

Kwa kipindi hiki mlichonacho bila kujichanganya mtaan imekula kwako, kazi zipo nyingi sana ila ajira ndo chache sasa kama unatafuta ajira utasubiri sana.
 
Hapa ndio huwa namkubali SHILOLE na wimbo wake wa "Nakomaa na Jiji la Dar"

Mie mwaka fulani nilimaliza chuo ngazi ya Diploma nikaenda home mikoa ya Kaskazini. Home nilikaa mwaka mmoja na nusu. Nilipoteza mambo mengi sana. Nikaamua nindoke kwenda mjini Dodoma kulikuwa na jamaa yangu alikuwa bachelor ni kamwambia nakuja huko kukaa na wewe but masuala ya chakula nitajua mwenyewe jamaa akakubali. Nilivyoenda nilijichanganya mitaani mpaka nikapata mchongo ambao niliufanya kwa miaka 2. Nikaacha nikaenda kuongeza elimu baada ya kufanya application chuo fulani. Baada ya kumaliza chuo nikatafuta jamaa mmoja Dar nikamwambia nakuja kukomaa na wewe suala la kula usiwaze mie pa kulala tu. Jamaa akasema njoo. Baada ya kufika nikawa najichanganya Kariakoo Mtaa wa Narung'ombe. Baada ya miezi mi tatu nikapata Bonge ya kazi.
Hapa nilijiapiza kwa Mungu naenda kukomaa na jiji la Dar. Baada ya Mwaka mmoja SHILOLE akatoa wimbo huo na huwa namkubali sana.
Ndio kanunu hiyo baba. Msoto utapata lakini mwisho wa siku sio sawa na kukaa mazingira yaleyale. Id makes difference
 
Kuna dogo humu nilimchorea ramani ya misituni kwenye mbao huko mufindi..kula kulala bure..nikamuomba sana kakangu nikimwambia dadake nimesoma naye .wiki analojiandaa kwenda akachomoa akasema ameapply posts fulani ..andika yake tu nikajua huyu haya upite mchujo mara alfu kumi hawezi appear...!ss hv anaruka ruka tu kama popcorn...!
Mie naamini hao madogo ulowachorea walikua ni jinsia ya me" demu nadra sana kuchomoa...ajabu unaskia ohh wanawake tunalipiwa frem na wanaume zetu...wanaume hao kwio!
Vijana wanapotoka chuo mara nyingi wanakua wamejazana ujinga sana kwamba lazima wapate kazi fulani fulani tu pindi wanapomaliza. Wanakua wameshapiga mahesabu kwamba ndani ya miezi mitatu wawe na usafiri, nyumba nk.
Mwaka 2020 kuna dogo mmoja nae nilimpa mchongo fulani wa kazi, kwenda akakuta mshahara laki mbili akachomoa. Juzi mwaka huu ananitumia msg eti broo vipi hali mbaya hujasikia ata sehemu yenye kuitaji volontia nikajishikize? Nikajua ehee vimeshaumana huko. Hata meseji sikujibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom