Nataka nikuwekee klip Ila haitakiWamefanyaje kwani...??
Nataka nikuwekee klip Ila haitakiWamefanyaje kwani...??
Nikaribie nini shemeji yanguKaribu shemeji, maana dadayako amesafiri leo nipo mwenyewe mahome...😋😋
Dah ubarikiwe mkuu.Kua msomi, ni tofauti na kuelimika.
Na unapoenda kusoma tarajia kupata maarifa ambayo ndio yatakua silaha yako kuelekea ama kufikia mafanikio huku mitaani.
Sorry..
Ninacho jaribu kumaanisha hapa nikwamba, unapo hitim chuo usitarajie kwamba cheti chako kitabadilika na kua fedha, bali unapaswa kutumia maarifa ili upate kutengeneza fedha.
Naomba niwaulize vijana, hasa wanao hitimu vyuo na kurejea mitaani.
Je, mlishawahi kujiuliza kwamba kwanini Serikali ama Bank haiwakopeshi fedha za mitaji kwa dhamana ya vyetu mara tu mnapohitimu vyuo..?? Sio lazima mnijibu hapa. Lakini ninachowasihi ni kwamba acheni vilio na punguzeni lawama, mnapaswa sasa kuzivua aibu na achaneni na mawazo ya kuchagua kazi/vibarua na punguzeni uvivu.
Kijana wa sasa anaweza akafanya shuguli yoyote halali hata kama ni dirty job, ilimradi kama kijana umejiwekea malengo lazima utafikia malengo ama pale unapotaka.
Bado nawasihi vijana muache tabia za kuamka na kusema hauna la kufanya, hauna pakwenda, hauna connection, hauwezi kubeba zege, hauwezi kuuza matunda, huwezi kupiga debe, hauwezi kulima mbogamboga nk:
Vijana punguzeni kuwalaumu wazazi, marafiki, Serikali, ndugu na jamaa. Bado nawashauri kupunguza ulevi, matumizi ya social networks ambayo hayana faida na kadhalika.
Badilikeni vijana, pengine wengi hamto upenda ushauri wangu hapa, na bilashaka wapo mtakaoanzisha lawama tena hapahapa kwa kuyarudia yale nilioyasema.
Asanteni, kwa leo yatosha...
Niseme tyuuh hivi, mfumo wa Elimu hapa kwetu upo kwa ajili kumtengeneza muhitimu kuajiriwa, na sio kujiajiri.Sawa mkuu...
Ebu niambie kwa hoja ili nami nijifunze kutoka kwako, yaani mfumo umefanyaje..??
Okay, nimekuelewa vizuri.Niseme tyuuh hivi, mfumo wa Elimu hapa kwetu upo kwa ajili kumtengeneza muhitimu kuajiriwa, na sio kujiajiri.
Hope umeelewa, vingnevyo wengine watakuja kudadavua zaidi.
Hilo sikumuuliza mkuu ila naamini kama ameweza hadi kuanza ujenzi obviously anaweza akakaza akanunua Bajaj yake,nakumbuka alisema kila kitu na malengo so jamaa anaonekana ni mpambanaji mzuri.Bajaj yake au ya bos?